Adha ya kutotii sheria bila shuruti-Kenya style

Ukisikia kuwa miafrika ndivyo tulivyo usikatae. Sasa huyo bi kizee ambaye hana hata jiwe mkononi nguvu kubwa yote hiyo ya nini?
 
nimeupenda huo ujasiri wa mwanamama mtuhumiwa...siyo kukamatwa kama kuku wa kisasa lazima uwashughurishe japo kidogo!
 
Ukisikia kuwa miafrika ndivyo tulivyo usikatae. Sasa huyo bi kizee ambaye hana hata jiwe mkononi nguvu kubwa yote hiyo ya nini?

Ulitaka aachwe bure baada ya kuvunja sheria? fahamu sheria haijui umri, halafu hapo wamefanya heshima kwa kuwahusisha askari wa kike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…