Mmmmmmh!!! Wapi bwana PJ hawa wanapiga over-return, don't put them nearby your kipusaAhh wapi..!
Mtu wa kijijini huyo, hajui a wala be ya hayo maeneo aliyoshika!
Adha ya mvua jijini imenifanya nimkimbize wifi/shemeji yenu uswazi maana nimeona jamaa wanao toa msaada wa kumvusha kwenye madibwi kama wanafaidi hivi. Bora nimsogeze mjini tu.
Hapa jamaa akiwa amebeba je hamuoni kama jamaa anafaudu kimtindo? Angalieni mkono huo.