Adhabu jaman

Adhabu jaman

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Jamaaaaa alikamatwa ana dawa za kulevya,,,, akaambiwa achague adhabu kati ya kunyongwa, kupigwa risasi, au kupigwa sindano ya virusi vya ukimwi yaan (HIV),,,,,

Jamaa: Samahani naomba mtoke nje nfikirie kdogo af nikiwa tayari nitawaiten,,, wakatoka,,

Jamaa :. Kwa kujiamini kabisa!!! Haya njooni,,,,

Polsi : Mmmmmh tuambie umechagua adhabu gani????

Jamaa :kupigwa sindano ya virusi vya ukimwi,,,,

Polsi : Pale pale wakampiga jamaaaaa sindano ya virusi vya ukimwi!!!! Haya bhanaaa upo huru,,,,,,,,,

Jamaa : Akacheeeeeeeeka,,

Polsi : Vp mbona unacheka???

Jamaa : Mlipotoka nje nilivaa kondomu,,,,,, [emoji2]
 
Duh! ndom alaf kitu kishapenya kwenye blood ha ha akili zinapozidi hayo ndo matatizo yake!
 
Back
Top Bottom