Adhabu kwa mzinzi katika jamii ya Kisukuma

Adhabu kwa mzinzi katika jamii ya Kisukuma

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Sijui hii ilitokea wapi hasa.

Ila jamaa wanaongea Kisukuma. Hivyo huenda ni huko Usukumani.

Ni adhabu ya kipumbavu sana.

Kama shida ni uzinzi, walioshiriki ni wawili [kikawaida].

Sasa iweje adhabu apate mmoja tu?

Halafu huyo ‘mzinzi’ naye ni bwege tu.

Ni bora kufa unapigania heshima yako kuliko kuishi kwa kudhalilika namna hiyo.

Mimi hunichapi hivyo popote. Tutapigana. Ama utaniua au utaumia wewe.


View: https://youtu.be/NegtztrIDI0?si=2a7wxO7bNURfUeL5
 
Hao ni wanyantuzu wasukuma wa kughushi usukuma hizo ndio zao mkuu, usiwachafue wasukuma halisi hawana huo ujinga.
 
Kupitia mila kama hizi unapata kujua kipimo halisi cha umaskini wa mtu.

Ukichunguza hapo utakuta jamaa ni kapuku hana kitu. Siku zote sheria na mila kandamizi hu apply kwa maskini.

Unaanzaje kumlaza chini tajiri mwenye mali zake ama mtu mwenye wadhifa wake umchape kisa amezini.
 
Kupitia mila kama hizi unapata kujua kipimo halisi cha umaskini wa mtu.

Ukichunguza hapo utakuta jamaa ni kapuku hana kitu. Siku zote sheria na mila kandamizi hu apply kwa maskini.

Unaanzaje kumlaza chini tajiri mwenye mali zake ama mtu mwenye wadhifa wake umchape kisa amezini.
🤣🤣🤣🤣
 
Kupitia mila kama hizi unapata kujua kipimo halisi cha umaskini wa mtu.

Ukichunguza hapo utakuta jamaa ni kapuku hana kitu. Siku zote sheria na mila kandamizi hu apply kwa maskini.

Unaanzaje kumlaza chini tajiri mwenye mali zake ama mtu mwenye wadhifa wake umchape kisa amezini.
Ni kweli, hata huko uarabuni wanaotandikwa viboko hadharani ni watu wa hali ya chini.
 
Hizo adhabu za viboko zipo Sana Kanda ya ziwa, na sio uzinzi peke yake hata makosa mengine
 
Back
Top Bottom