Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Wasukuma halisi ndo wakoje?Hao ni wanyantuzu wasukuma wa kughushi usukuma hizo ndio zao mkuu, usiwachafue wasukuma halisi hawana huo ujinga.
🤣🤣🤣🤣Kupitia mila kama hizi unapata kujua kipimo halisi cha umaskini wa mtu.
Ukichunguza hapo utakuta jamaa ni kapuku hana kitu. Siku zote sheria na mila kandamizi hu apply kwa maskini.
Unaanzaje kumlaza chini tajiri mwenye mali zake ama mtu mwenye wadhifa wake umchape kisa amezini.
Ni kweli, hata huko uarabuni wanaotandikwa viboko hadharani ni watu wa hali ya chini.Kupitia mila kama hizi unapata kujua kipimo halisi cha umaskini wa mtu.
Ukichunguza hapo utakuta jamaa ni kapuku hana kitu. Siku zote sheria na mila kandamizi hu apply kwa maskini.
Unaanzaje kumlaza chini tajiri mwenye mali zake ama mtu mwenye wadhifa wake umchape kisa amezini.
Hawahukumu adhabu ya viboko kwa mzinzi bali humtoza ng'ombe kadhaa kisha hupewa huyo demu amchukue mazima na kuwa wake wa kufa na kuzikana.Wasukuma halisi ndo wakoje?