Ushabiki mbaya sana, sasa hapo wanaotetea wanatetea nini? Kocha kuvaa nguo za kulalia sijui za kuendea beach ndio aingie nazo kazini, au yeye hajui kuwa anapokuwa kwenye mechi kama kocha yupo kazini/ofisini!!
Kusoma sheria hajui basi hata aangalie picha namna makocha wa nchi zilizoendela kimpira wanavyovaa.