Adhabu nyingine bana?

Ndibalema

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
10,955
Reaction score
4,656
Hao ni wanafunzi wanapewa adhabu na mwalimu wao.


 

Attachments

  • adhabu.jpg
    47.7 KB · Views: 307
Wajomba nilifundishwa na mwalimu Dionese shule ya msingi alikuwa mkali sana lakini ya huyu mgoa imekuwa kali zaida!
 
Hao ni wanafunzi wanapewa adhabu na mwalimu wao.



Huyu mwalimu anatakiwa kupelekwa kule Kagera atoe adhabu kwa walimu wanaofanya uzembe wa kufelisha wanafunzi. naamini watanyooka badala ya kuwachapa viboko
 
eeeeeeeeeh huyu anawazimu?
 
Huyu mwalimu anatakiwa kupelekwa kule Kagera atoe adhabu kwa walimu wanaofanya uzembe wa kufelisha wanafunzi. naamini watanyooka badala ya kuwachapa viboko


Hawezekani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kama ni kweli huyu mwalimu anatakiwa ashitakiwe. Maana akiwakanyaga na hiyo toyo take si vidole vitapondeka pondeka jamani.
 
maisha yangu yote nilitamani kuwa mwalim, nasababu yakuhitaji kuwa mwalimu ni tabia kama hizi, za kuwafunza adabu watoto wasiofunzwa na wazazi wao.....unaweza kukuta hao watoto ni wachafu hawajaoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…