FIFA hawaja communicate formally kwa Kichuya kuhusina na adhabu waliyompa! Nadhani ndio sababu yuko uwanjani! Taarifa za Mitandaoni sio rasmi hadi mlengwa atakapo Pata barua rasmi ya kusimamishwa kwake na ukomo wa hiyo adhabuKichuya alipewa adhabu ya kufungiwa (miezi 6) na sio faini.
Adhabu ya faini walipewa Simba.
Mimi nauliza juu ya uhalali wa Kichuya kucheza mechi hii wakati amefungiwa.
Asante, nimekuelewa mkuu.FIFA hawaja communicate formally kwa Kichuya kuhusina na adhabu waliyompa! Nadhani ndio sababu yuko uwanjani! Taarifa za Mitandaoni sio rasmi hadi mlengwa atakapo Pata barua rasmi ya kusimamishwa kwake na ukomo wa hiyo adhabu
Naona hakuna kitu kinachoitwa kichuya katika website ya fifaEmbu inga Google kwenye website ya fifa
Jiongeze sasanaona hakuna kitu kinachoitwa kichuya katika website ya fifa
Wewe ulisikia wapi?Kichuya alipewa adhabu ya kufungiwa (miezi 6) na sio faini.
Adhabu ya faini walipewa Simba.
Mimi nauliza juu ya uhalali wa Kichuya kucheza mechi hii wakati amefungiwa.
Mbona kiongozi wa Namungo alikiri kupokea barua kutoka FIFA?Taarifa za mitandaoni tunazivumisha sana bila ya kujua huku mitandaoni ndio kuna hadi signature ya Rais
Endapo kama simba watashindwa kulipa faini ndipo adhabu ya miezi sita utamhusu mhusika mkuu. Pili simba wameomba mapitioKichuya alipewa adhabu ya kufungiwa (miezi 6) na sio faini.
Adhabu ya faini walipewa Simba.
Mimi nauliza juu ya uhalali wa Kichuya kucheza mechi hii wakati amefungiwa.
Vipi barua hiyo ilitaarifu namna ya usajili ulivyofanyika au kuzuiliwa kwa kichuya?Mbona kiongozi wa Namungo alikiri kupokea barua kutoka FIFA?