Kichuya alipewa adhabu ya kufungiwa (miezi 6) na sio faini.
Adhabu ya faini walipewa Simba.
Mimi nauliza juu ya uhalali wa Kichuya kucheza mechi hii wakati amefungiwa.
Kichuya alipewa adhabu ya kufungiwa (miezi 6) na sio faini.
Adhabu ya faini walipewa Simba.
Mimi nauliza juu ya uhalali wa Kichuya kucheza mechi hii wakati amefungiwa.
Kichuya atapewa adhabu hio au nyingne km simba itashindwa kulipa hio fain. Kwa sasa Simba wameomba mapitio fifa hvyo ile adhabu automatically haipo mpka fifa watakapoleta adhabu for the second time baada ya mapitio