Adhabu ya kunyonga hadi kufa imepitwa na wakati?

 
Ndo maana ukasema upnde wko, am sorry Dada iko hivi binafc nafkir kuwa Karibia vfngu vyote vinavyozngumzia maswala ya utoaji wa hukumu kwa wakosaji 90% tumevirith kutoka kwa wakoloni (colonial legancy) kwa maana nyngne Sina uhakika kama watanzania walio wengi wanakubaliana na hlo jambo lkn kwa vile serikali inaongozwa na wachche na most of them wanamonopoly rights hvyo ni vgumu xana hlo jambo kulipnga kwa mtu mmoja mmoja,
 
Hukumu ya kunyongwa hadi kufa si Sawa,
Kwa kuangalia Kwa kina kosa linalipizwa Kwa kosa. Baadae itakuja ukiniibia shati utanyanganywa shati, nikibaka nibakwe,nikilawiti nilawitiwe, nk Adhabu ya kuishi gerezani milele ni Adhabu kubwa kuliko kunyongwa.

Adhabu ya kuwekwa lockup Siku tano ni Adhabu kubwa pia. Adhabu ya kunyongwa hadi kufa ni ya kuondoa
 
Hata vitabu vya kidini vinaunga mkono death sentence, naanzaje kuipinga?

Sema tatizo ni mode of execution, tutumie electric chair, au mercy death!
 
Me nadhan ashabu ya kunyogwa ifatwe tu kutokana na kosa lenyewe kazamilia au vep na kama kazamilia ni kifo tu kama kaona mwenzie hana thaman bas nayeye hana thaman pia na kama kauwa kwabahat mbaya bas ata kuwa anahak ya kusamehewa


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Kusema ifutwe ni matumizi ya hisia kwenye uhalisia! Unawezaje kuishi nyumba moja na mtu aliyemkatakata mtoto baada ya kumnyang'anya mama wa mtoto mgongoni! Na ukahisi upo salama kabisa kuendelea kuishi nae mtaani, kwenye uhalisia huwezi thubutu kusema ifutwe si ajabu kukuta wewe unayesema ifutwe ndiyo wewe vibaka unawachoma moto hapo ukiwa kwenye Uhalisia wako na hisia umeweka kando.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…