Adhabu ya kunyonga Tanzania

Adhabu ya kunyonga Tanzania

Lung'wecha

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2014
Posts
927
Reaction score
574
ningependa kujua je,hukumu ya kunyonga bado inatekelezwa hapa nchini? kama NDIYO je wananyongwaje? kama hapana HAPANA wanaohukumiwa maisha si watajaa huko magerezani? ufafanuzi wadau!
 
Back
Top Bottom