Adhabu ya Kunyongwa hadi kufa itekelezwe ili kupunguza wahalifu wanaofanya mauaji

Adhabu ya Kunyongwa hadi kufa itekelezwe ili kupunguza wahalifu wanaofanya mauaji

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Kwa maoni yangu adhabu hii bado ni valid na inapaswa kutolewa kabatini na kurudishwa kwenye utekelezaji.
Inawezekana watekaji na wauaji wameshajipimia adhabu na hivyo kuamua kufanya wayafanyayo wakiamini adhabu ya juu ni kukaa gerezani na kulishwa vizuri.
 
Kwa maoni yangu adhabu hii bado ni valid na inapaswa kutolewa kabatini na kurudishwa kwenye utekelezaji.
Inawezekana watekaji na wauaji wameshajipimia adhabu na hivyo kuamua kufanya wayafanyayo wyakiamini adhabu ya juu ni kukaa gerezani na kulishwa vizuri.
Tatizo ni kwamba hao wahuni hawajawahi hata kukamatwa.. mfano wale waliomshambulia Lissu.
 
Kwa maoni yangu adhabu hii bado ni valid na inapaswa kutolewa kabatini na kurudishwa kwenye utekelezaji.
Inawezekana watekaji na wauaji wameshajipimia adhabu na hivyo kuamua kufanya wayafanyayo wakiamini adhabu ya juu ni kukaa gerezani na kulishwa vizuri.
Wanyongwe wauaji na watekaji wote bila huruma kama Marais hawataki ku saini jukumu Hilo liachiwe Jaji mkuu.
Marekani na Saudia wananyonga kwa Raha zao.
 
Watanyongwa vipi wakati watekaji ni wenye mamlaka.

Maana waganga wakienyeji walikua wamepewa zigo, lakini Mungu kawaokoa kwa utekaji wa Mzee Kibao.
 
Back
Top Bottom