Adhabu ya viboko mashuleni

Samuel1

Member
Joined
Feb 5, 2011
Posts
17
Reaction score
4
ahjssdsd
 

Attachments

  • 1.jpg
    24.9 KB · Views: 548
  • 2.jpg
    33.9 KB · Views: 487
  • 3.jpg
    17.1 KB · Views: 947
  • 4.jpg
    34.4 KB · Views: 458
  • 5.jpg
    17.9 KB · Views: 482
  • 6.jpg
    21.9 KB · Views: 521
Umenikumbusha mbali sana aisee, umenikumbusha enzi za Lugalo Primary (Lugalo ya Dar sio Iringa) na mwalimu Kabigi!
 
Nimenyukwa sana hivi.... enzi hizo.:bolt::bolt::bolt:
 
Duh, huyo aliyevuliwa kaptula, matak o nje ndo anaiskilizia vizuri


Il Gambino.
 
Mwalimu kali sana :shock::shock:

 
Last edited by a moderator:
Punda haendi bila kiboko wanasema! kwa kuwa tumejichukulia sisi ni punda na si binadamu ndiyo maaana watumishi wa umma hawafanyi kazi kwa kuwa tangu utotoni wamezoea viboko, kazini hakuna viboko wanazunguka tu na kutia stori tu hakuna kinachofanyika, anything too much is harmful shule za kitanzania zimezidisha viboko
 
kama mwanadamu ana mamlaka juu ya mwili wa kiumbe dhaifu kama hawa atashindwa kweli kum abuse sexually, hii ni hatari mashuleni wanafunzi wanabakwa sana na walimu no wonder
 
walimu wana stress za madeni, maisha magumu na mishahara midogo, unadhani stress zao wanaziondolea wapi kama sio kwenye miili ya wenzao?
 
"Kama viboko vingekuwa vinafundisha punda wangekuwa chuo kikuu" by Roma Mkatoliki.
 
oya hawa masela wa mwisho walimu kweli.....? mbona naona kama mateja vile halafu huyo mwenye panki anaonekana kama anatamani kalio la huyo dogo....! jamani hebu angalieni vizuri hawa ni walimu kweli hawa....?
 
Ah, viboko on the ****** and palms, don't die from
 
Mi sipendi hivi....
Kijamaa kama hiki hapa unafikiri bila mboko kitaenda shule kweli!!! hakitaki hata kuchomekea shati!!
kipo ki-ngumbaru hivi.............wengi wetu mboko zilituwezesha kusoma bana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…