Adhabu za Kenya za Lori kuzidisha uzito ni kubwa mno, unaweza acha lori lako ukatokomea

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Wakenya kwenye kuzidisha uzito kwenye mizani Barabarani wana sheria kari mno, unaweza jikuta unaacha gari pale.

Fikira lori kuzidiaha uzito unapigwa faini ya Ksh Milion 47 hizo ni around Million kama 800 za kitanzania, hii ni mara ya pili nakumbana na habari ya lori zikipigwa faini ya kutisha, kuna moja ilikuwa ni ya kubeba mchanga nayo ilipigwa faini ya karibia million 200 za kitanzania, kwa kifupi ni lazima wataifishe lori lako tu.

Bongo ndio maana Barabara zetu zimejaa viraka sana, zingine hazina miaka 6 zisha pigwa viraka vya kutosha.
 
Faini haijawahi kusaidia zaidi ya kufacilitate na kuboresha mchakato wa rushwa
 
Siwezi kubishana na chizi mwenye low IQ kama ww.
Sijui ni umeshindwa kutofautisha maeneo ya bush na maeneo ya Jiji au ni umenifanya makusudi, akili huna papasi wewe
 
then it is safe to say, "Tanzania yote ni bush land"
N/B huwezi kujiita mtu mwenye high Iq huku unatumia jazba/ mitusi/ povu kupitisha hoja yako. kwaio jitathmini
 
Na huko ndo kuna mabarabara ya hovyo yana viraka vya kutosha! Nimefika voi, mombasa, Na baadhi ya maeneo ya Nairobi.
Eti barabara zenye viraka? Maeneo gani hayo ya Nairobi, Mombasa na Voi. Acha unafik, hujatia mguu wako ndani ya nchi ya Kenya wewe. Labda ulizuru Kenya kwenye ndoto.
 
then it is safe to say, "Tanzania yote ni bush land"
N/B huwezi kujiita mtu mwenye high Iq huku unatumia jazba/ mitusi/ povu kupitisha hoja yako. kwaio jitathmini
Tulia wewe. Leta picha ya high way kutoka migori - kisii.
Au hata loligorian - Nakuru. Wakenya sijui Nani amewaroga
 
Eti barabara zenye viraka? Maeneo gani hayo ya Nairobi, Mombasa na Voi. Acha unafik, hujatia mguu wako ndani ya nchi ya Kenya wewe. Labda ulizuru Kenya kwenye ndoto.
Barabara ya Horohoro Mombasa Haina viraka? Mombasa malindi Haina viraka?




Huko kwengine sijafika ila Mombasa na Malindi Kuna viraka na mashimo ya kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…