ADHD(Attention Deficit Hyperactivity Disorder) ni nini hasa?

Najua ni tatizo la watoto kuwa active kupita kiasi, kwa lugha ya mtaani tunaweza kusema ni mapepe.
Ni tatizo la kiafya, husababishwa na mambo kadhaa, huku ikiaminika kuwa mama mjamzito kula sukari sana, au mtoto kupewa vitu vya sukari sana kuchangi

Unaweza kusearch mkuu, hata wikipedia wana maelezo mazuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…