Adidas chukueni maua yenu kwa ubunifu kwa jezi bora kabisa 2024,toka 2002 world cup haijatokea

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293


Nike ilipiga bao sana mwaka 2002 kwenye kombe la dunia, jezi hizi zilivaliwa na timu nyingi kama
Brazil, Italia, South Korea, Arsenal n.k. zilikuwa nzuri sana na zilitrend kwa kipindi hicho.

Toka mwaka huo sijaona tena jezi maarufu mpaka mwaka huu.

2024 ukiangalia michuano ya Euro na Copa America kampuni ya Adidas imelipa kwa ubunifu mzuri wa jezi, asee kwa kweli zinapendeza

Chanzo adidas Kit History - Football Kit Archive
hizi jezi hazina mifano ni kali mno sipati picha jezi ya man u msimu ujao.

Hakika Adidas wamelipa deni la nike mwaka 2002

Ukiangalia timu hizi
Ujerumani
Ubelgiji
Argentina
Colombia
Mexico
Italia n.k utapata jibu
Unaona jinsi bukta ilivyoungana na fulana kwa kamstari fulani hivi.
👏👏👏👏👏Natamani Tanzania au Simba ingekuwa na mkataba ba Adidas.
 
Adidas timu zote kubwa zinazovaa jezi zao wametwaa makombe
Really Madrid
Al Ahly
Man utd
Na jezi zote za timu hz ni kama zinafanana mtindo kasoro rangi za timu
 
Unyama wa adidas
 

Attachments

  • IP1726_HM30.jpg
    296.2 KB · Views: 6
  • IU7915_41_detail.jpg
    185.3 KB · Views: 6
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…