BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Rapa na Mfanyabiashara #YE na kampuni ya kuunda Mavazi ya #Adidas wanaripotiwa kufanya mazungumzo ya kurudisha ushirikiano ikiwa ni miezi michache tangu kuvunjika kwa mkataba wao baada ya Kanye kutoa kauli zilizoonesha ubaguzi wa rangi.
Mazungumzo hayo yanatarajiwa kurejesha mauzo ya bidhaa za Adidas zenye thamani ya Tsh. Trilioni 3 zilizokwama kuuzika baada ya kuvunjika kwa mkabata wao. Pia, kubadili baadhi ya vipengele vya umiliki wa biashara hiyo.
Licha ya Adidas kushindwa kuuza bidhaa zilizobuniwa na #KanyeWest, Rapa na Mfanyabiashara huyo naye alipata hasara ya kupoteza dili la Tsh. Trilioni 4.6 kutokana na kauli zilizoonesha Ubaguzi dhidi ya #Wayahudi.
WEALTH
Mazungumzo hayo yanatarajiwa kurejesha mauzo ya bidhaa za Adidas zenye thamani ya Tsh. Trilioni 3 zilizokwama kuuzika baada ya kuvunjika kwa mkabata wao. Pia, kubadili baadhi ya vipengele vya umiliki wa biashara hiyo.
Licha ya Adidas kushindwa kuuza bidhaa zilizobuniwa na #KanyeWest, Rapa na Mfanyabiashara huyo naye alipata hasara ya kupoteza dili la Tsh. Trilioni 4.6 kutokana na kauli zilizoonesha Ubaguzi dhidi ya #Wayahudi.