Shabby kng
Member
- Jul 4, 2013
- 41
- 6
habari wana jf mimi nimechaguliwa kujiunga na chuo cha kampala dar sasa nilikua naomba kujua kuhusu admission letter yaani joining instruction maana kwenye website haipo na sijatumiwa kwenye email yangu sasa nifanyeje maana kazin ili nipate ruhusa wameniambia mpaka joining nndo napewa ruhusa