Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Mambo yanazidi kunoga, kapilipili kanazidi kukolea. CCM wakiongonzwa na UVCCM Kagera wanawazoom tu 🌚 🌚
=====
"Sisi tumevumilia sana kuibiwa, 2020 tumeibiwa, na safari hii wamejaribu 'kutubipu' tukawapigia, wengine huko walipo wanajipanga eti wajaribu kutuibia tena, ninawaambia simu zetu tumeweka bando la mwaka, ataumia mtu safari hii, sisi tumejipanga"- Shaibu
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhus Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu akizungumza siku ya Jumamosi Novemba 23, 2024, kijiji cha Kajima, kata ya Kajika, jimbo la Tunduru Kaskazini mkoani Ruvuma ambapo amewanadi wagombea wa chama hicho katika kata hiyo.
Mambo yanazidi kunoga, kapilipili kanazidi kukolea. CCM wakiongonzwa na UVCCM Kagera wanawazoom tu 🌚 🌚
=====
"Sisi tumevumilia sana kuibiwa, 2020 tumeibiwa, na safari hii wamejaribu 'kutubipu' tukawapigia, wengine huko walipo wanajipanga eti wajaribu kutuibia tena, ninawaambia simu zetu tumeweka bando la mwaka, ataumia mtu safari hii, sisi tumejipanga"- Shaibu
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhus Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu akizungumza siku ya Jumamosi Novemba 23, 2024, kijiji cha Kajima, kata ya Kajika, jimbo la Tunduru Kaskazini mkoani Ruvuma ambapo amewanadi wagombea wa chama hicho katika kata hiyo.