Pre GE2025 Ado Shaibu: Ukichoshwa na CHADEMA karibu sana ACT, tutakuwa chama cha ajabu tukisema hatutawapokea

Pre GE2025 Ado Shaibu: Ukichoshwa na CHADEMA karibu sana ACT, tutakuwa chama cha ajabu tukisema hatutawapokea

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu akizungumza na wanahabari leo Januari 15 Makao Makuu ya chama hicho Magomeni Dar Es Salaam amesema “Wakitokea watu wanataka kujiunga ACT Wazalendo kutokea CHADEMA tutawapokea na tunawakaribisha sana kwa mikono miwili kwa sababu biashara ya chama cha siasa ni wanachama kwa hiyo kitakuwa ni chama cha ajabu tukisema hatutawapokea wanachama …narudia kusema tena ACT Wazalendo ipo tayari kuwapokea wapiganaji wote ambao wamekata tamaa wamechoshwa wamefadhaishwa kwenye vyama vyao kama umechoshwa na CHADEMA, ACT Wazalendo inakukaribisha kwa mikono miwili ukichoshwa na CCM, ACT Wazalendo ndio nyumbani, ukichoshwa na CUF njoo ACT Wazalendo”
 
Haina shida, ACT ni chama cha watanzania wote na kinapaswa kupokea wananchi wanaotaka kujiunga nacho kufanya siasa. Let's assume lissu akatemwa chadema na asiridhishwe na matokeo akaamua kuondoka na kwenda ACT ataondoka na nyomi kubwa ya chadema. ACT itanufaika tena kwa mara ya pili kupata wanachama wengi kwa muda mfupi kwa makundi. ilipata wa cuf na inatamani kupata wa chadema
 
Sa hiki nacho ni chama aaahaah npo biharamulo hapa mjini kbs hakuna mdudu anayeitwa act wazalendo
 
Utoke kupigana na Mangi uanze kupambana na Mwami 🐼
 
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu akizungumza na wanahabari leo Januari 15 Makao Makuu ya chama hicho Magomeni Dar Es Salaam.

"Wakitokea watu wanataka kujiunga ACT Wazalendo kutokea CHADEMA tutawapokea na tunawakaribisha sana kwa mikono miwili kwa sababu biashara ya chama cha siasa ni wanachama kwa hiyo kitakuwa ni chama cha ajabu tukisema hatutawapokea wanachama…narudia kusema tena ACT Wazalendo ipo tayari kuwapokea wapiganaji wote ambao wamekata tamaa wamechoshwa wamefadhaishwa kwenye vyama vyao kama umechoshwa na CHADEMA, ACT Wazalendo inakukaribisha kwa mikono miwili ukichoshwa na CCM, ACT Wazalendo ndio nyumbani, ukichoshwa na CUF njoo ACT Wazalendo"
Screenshot 2025-01-15 162218.png
 
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ado Shaibu akizungumza na wanahabari leo Januari 15 Makao Makuu ya chama hicho Magomeni Dar Es Salaam.

"Wakitokea watu wanataka kujiunga ACT Wazalendo kutokea CHADEMA tutawapokea na tunawakaribisha sana kwa mikono miwili kwa sababu biashara ya chama cha siasa ni wanachama kwa hiyo kitakuwa ni chama cha ajabu tukisema hatutawapokea wanachama…narudia kusema tena ACT Wazalendo ipo tayari kuwapokea wapiganaji wote ambao wamekata tamaa wamechoshwa wamefadhaishwa kwenye vyama vyao kama umechoshwa na CHADEMA, ACT Wazalendo inakukaribisha kwa mikono miwili ukichoshwa na CCM, ACT Wazalendo ndio nyumbani, ukichoshwa na CUF njoo ACT Wazalendo"
View attachment 3202554
ACT Wazalendo ni CCM B
 
Wanaoinanga CHADEMA wanachoshangaza ni ile hali na hamu yao ya kutamani wanachadema kujiunga na vyama vyao.

Hii imekaaje?
 
Haina shida, ACT ni chama cha watanzania wote na kinapaswa kupokea wananchi wanaotaka kujiunga nacho kufanya siasa. Let's assume lissu akatemwa chadema na asiridhishwe na matokeo akaamua kuondoka na kwenda ACT ataondoka na nyomi kubwa ya chadema. ACT itanufaika tena kwa mara ya pili kupata wanachama wengi kwa muda mfupi kwa makundi. ilipata wa cuf na inatamani kupata wa chadema
Tena Lissu akiondoka ACT itakuwa chama chenye nguvu kubwa. Tatizo ni je, Zitto anaaminika? Na pia kitendo cha kuingia kwenye serikali ya umoja huko Zanzibar kimewapunguzia credibility.
 
Wanaoinanga CHADEMA wanachoshangaza ni ile hali na hamu yao ya kutamani wanachadema kujiunga na vyama vyao.

Hii imekaaje?
malaria 2 huyu ni mwanachama wa ACT Wazalendo yuko humu masaa 24 kumtukana na kumkashifu Lissu lakini mission yake ni hii kwa siku a aanzishe nyuzi 5 kumkandia Lissu ili kuchochea mpasuko.
 
Back
Top Bottom