Nadhani hii inabaki kua, Album bora ya Twanga, ever forever. Ingawa Ndio album ya kwanza pia, enzi hizo Ramadhan Masanja Banza ni mtoto mzuri.kisa cha mpemba
Tabia hii kwa mpemba huyu,
ilikuwa kawaida
ila kwa siku moja mwenye mke,
kagundua hila zote!
Nadhani hii inabaki kua, Album bora ya Twanga, ever forever. Ingawa Ndio album ya kwanza pia, enzi hizo Ramadhan Masanja Banza ni mtoto mzuri.
Tabia ya mke Huyu,
Ilianza toka kitambo,
Mume alivumilia,
na kula mapocho pocho,
Kwa shingo upande yo yo, maskiini,
Ndipo siku hiyo bana, kabwaga manyanga chini,
Na kumtafuta Mpemba, Mpemba kakimbia ahaaa, masikini.
Mzee wa watu katoa kiasi cha mboga kulingana na uwezo wake,
Kashangaa? Kuona anakula vitu vya bei ya juu,
Kuliko gharama alizotoa.
Uzembe wa Mke huyu, ameutaka mwenyewe,hiki kipande nakipenda kweli yan dah!
Uzembe wa Mke huyu, ameutaka mwenyewe,
Nani wa kumlaumu, hakuna wa kumlaumu,
Analia sana ahaaa, Unyumba Hakuna ahaa, Tamaa Mbayaa ahaa
Analia sanaaaa!!!!!!, Unyumba Hakunaaa!!!!, Tamaa Mbayaaaa!!!!
(Rap ndio zinaanzia hapa sasa, Umtamtaka Banza??!!!)
Uzembe wa Mke huyu, ameutaka mwenyewe,
Nani wa kumlaumu, hakuna wa kumlaumu,
Analia sana ahaaa, Unyumba Hakuna ahaa, Tamaa Mbayaa ahaa
Analia sanaaaa!!!!!!, Unyumba Hakunaaa!!!!, Tamaa Mbayaaaa!!!!
(Rap ndio zinaanzia hapa sasa, Umtamtaka Banza??!!!)