Adv Garatwa: Niliwaambia Mbowe ni mjasiriamali wa siasa ndani ya CHADEMA mkasema nimenunuliwa fine. Leo yako wapi Wanachadema wenzangu

Adv Garatwa: Niliwaambia Mbowe ni mjasiriamali wa siasa ndani ya CHADEMA mkasema nimenunuliwa fine. Leo yako wapi Wanachadema wenzangu

Bezecky

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
494
Reaction score
897
NILIWAAMBIA MBOWE NI TAPELI WA KISIASA NDANI YA CHADEMA MKASEMA NIMENUNULIWA NA CCM; SASA KIKO WAPI?

Na; Garatwa Francis

Ukiambiwa muda ni Mwalimu wa haki uwe unaelewa. Wakati nawaambia Mbowe na genge lake wanakiuza chama na tunapoelekea wataanza kutuuza sisi wanachama ni wangapi walinielewa?

Tatizo kubwa la Chama chetu, tumejaza wafuata upepo wengi sana wasiotaka kujua maana na hata ukiwajuza maana huwa hawaelewi chochote.

Ujuaji mwingi wa wafuata upepo kujifanya kama ni wafia chama for nothing ni tatizo lingine linalopelekea watu wengi kwenye hiki chama kuzubaa na wasiwe hata na uwezo wa kuhoji ujinga na ushenzi unaofanyika hadharani.

Leo hii ninapoandika hapa, karibu robo tatu ya watu wa chama hiki nchi nzima ni vilio tupu baada ya kushtukia michezo ya pata potea inayochezwa na Mbowe.

Kwa kuwa sasa tunaimba wimbo mmoja wote nchi nzima, nataka niwaambie kwamba, hakuna kenge yoyote ile ndani ya CCM yenye uwezo ama hata uthubutu wa kunipotosha nihame ndani ya CHADEMA.

Isipokuwa ni upumbavu ulizidi na ukavuka mipaka nikaamua kukaa pembeni kama hawa akina Ahobokile ambaye kipindi kile alidhani nimenunuliwa na CCM, leo naye ameamua kuutua mzigo.

Napokea simu na SMS nyingi sana za watu kupitia normal text na hata Inbox za hizi social networks watu wakitaka kujua nilijuaje haya mambo mapema vile.

Lakini baadhi yao siwajibu chochote kwa maksudi kwa sababu ni wanafiki watupu waliokuwa wanashupaza shingo zao kwamba wanajua nimeshanunuliwa na CCM na wengine wakasema nimehamia ACT ya Zitto.

Mwisho kwa uchache tu nasema kwamba; CHADEMA chini ya Mbowe binafsi siwezi kujidanganya kufanya chochote ndani ya CHADEMA kwa sababu najua itakuwa ni kazi bure tu ya kuendeleza mradi wake wa ulaji kutoka CCM na dola yao.

Just imagine mtu mwenye hadhi ya (CPA) Certified Public Accountant ndani ya chama ambaye alikuwa sehemu ya washauri wa chama kwenye masuala ya fedha Makao Makuu ya Chama na Mjumbe wa Kamati Kuu kama Ahobokile Mwaitenda;

Anaamua kujiuzulu nafasi zake zote ikiwemo ujumbe wa Kamati Kuu kisa hakubaliani na mienendo ya Mbowe ndani ya chama halafu wewe unayeambiwa kunja ngumi zako na usipokunja wewe ni mchawi unashupaza shingo kwa ujuaji.

Unahisi baada ya uchaguzi ikitokea Mbowe akatangazwa mshindi may be kwa maguvu ya dola ya CCM kukiongoza tena chama hiki kwa miaka mingine mitano hali ya Chama huko chini Itakuwaje?

Tundu Lissu ndiye mtu sahihi katika kipindi sahihi sana cha yeye kuwepo kwenye uongozi wa chama hiki.

Garatwa Francis,
Dar es Salaam, Tanzania.
22 Desemba, 2024.

IMG-20241222-WA0124(1).jpg
 
Mjomba Mbowe, asante kwa kukomboa kikoba chetu, maadui zetu wameanza kujidhihirisha wazi.
 
Biashara hizi ndo zinamfanya adumu milele, huwa kuna ka ujinga nakasikia humu ohh Mbowe ni tajiri ohh mbowe ni billionaire nacheka sana, ohh mbowe kachukuliwa mali zake ohhh mbowe ana kidhamini chama , zote ni ujinga wa wananchi, kwani hamjui ma Billionaire duniani? Yaani Mo au Elon Musk ang'ang'anie chama 20 yrs asifanye niashara zake pembeni? No way . Mbowe upigajo wake na biashara yake no chadema, tusidanganye ni billionaire.
 
NILIWAAMBIA MBOWE NI TAPELI WA KISIASA NDANI YA CHADEMA MKASEMA NIMENUNULIWA NA CCM; SASA KIKO WAPI?

Na; Garatwa Francis

Ukiambiwa muda ni Mwalimu wa haki uwe unaelewa. Wakati nawaambia Mbowe na genge lake wanakiuza chama na tunapoelekea wataanza kutuuza sisi wanachama ni wangapi walinielewa?

Tatizo kubwa la Chama chetu, tumejaza wafuata upepo wengi sana wasiotaka kujua maana na hata ukiwajuza maana huwa hawaelewi chochote.

Ujuaji mwingi wa wafuata upepo kujifanya kama ni wafia chama for nothing ni tatizo lingine linalopelekea watu wengi kwenye hiki chama kuzubaa na wasiwe hata na uwezo wa kuhoji ujinga na ushenzi unaofanyika hadharani.

Leo hii ninapoandika hapa, karibu robo tatu ya watu wa chama hiki nchi nzima ni vilio tupu baada ya kushtukia michezo ya pata potea inayochezwa na Mbowe.

Kwa kuwa sasa tunaimba wimbo mmoja wote nchi nzima, nataka niwaambie kwamba, hakuna kenge yoyote ile ndani ya CCM yenye uwezo ama hata uthubutu wa kunipotosha nihame ndani ya CHADEMA.

Isipokuwa ni upumbavu ulizidi na ukavuka mipaka nikaamua kukaa pembeni kama hawa akina Ahobokile ambaye kipindi kile alidhani nimenunuliwa na CCM, leo naye ameamua kuutua mzigo.

Napokea simu na SMS nyingi sana za watu kupitia normal text na hata Inbox za hizi social networks watu wakitaka kujua nilijuaje haya mambo mapema vile.

Lakini baadhi yao siwajibu chochote kwa maksudi kwa sababu ni wanafiki watupu waliokuwa wanashupaza shingo zao kwamba wanajua nimeshanunuliwa na CCM na wengine wakasema nimehamia ACT ya Zitto.

Mwisho kwa uchache tu nasema kwamba; CHADEMA chini ya Mbowe binafsi siwezi kujidanganya kufanya chochote ndani ya CHADEMA kwa sababu najua itakuwa ni kazi bure tu ya kuendeleza mradi wake wa ulaji kutoka CCM na dola yao.

Just imagine mtu mwenye hadhi ya (CPA) Certified Public Accountant ndani ya chama ambaye alikuwa sehemu ya washauri wa chama kwenye masuala ya fedha Makao Makuu ya Chama na Mjumbe wa Kamati Kuu kama Ahobokile Mwaitenda;

Anaamua kujiuzulu nafasi zake zote ikiwemo ujumbe wa Kamati Kuu kisa hakubaliani na mienendo ya Mbowe ndani ya chama halafu wewe unayeambiwa kunja ngumi zako na usipokunja wewe ni mchawi unashupaza shingo kwa ujuaji.

Unahisi baada ya uchaguzi ikitokea Mbowe akatangazwa mshindi may be kwa maguvu ya dola ya CCM kukiongoza tena chama hiki kwa miaka mingine mitano hali ya Chama huko chini Itakuwaje?

Tundu Lissu ndiye mtu sahihi katika kipindi sahihi sana cha yeye kuwepo kwenye uongozi wa chama hiki.

Garatwa Francis,
Dar es Salaam, Tanzania.
22 Desemba, 2024.

View attachment 3183223
Miaka yote hiyo hajasema kitu, halafu huo utapeli uonekane tu Disemba hii baada ya Mbowe kusema anagombea? Logic hapa haikubali.
 
Huyu naye ni wakili, kweli tasnia imevamiwa. Mahakama imekuwa dustbin, na haina namna, inabidi isikilize verbal diarrhoea
 
Miaka yote hiyo hajasema kitu, halafu huo utapeli uonekane tu Disemba hii baada ya Mbowe kusema anagombea? Logic hapa haikubali.
Mbona nae anazingua wallahi
 
NILIWAAMBIA MBOWE NI TAPELI WA KISIASA NDANI YA CHADEMA MKASEMA NIMENUNULIWA NA CCM; SASA KIKO WAPI?

Na; Garatwa Francis

Ukiambiwa muda ni Mwalimu wa haki uwe unaelewa. Wakati nawaambia Mbowe na genge lake wanakiuza chama na tunapoelekea wataanza kutuuza sisi wanachama ni wangapi walinielewa?

Tatizo kubwa la Chama chetu, tumejaza wafuata upepo wengi sana wasiotaka kujua maana na hata ukiwajuza maana huwa hawaelewi chochote.

Ujuaji mwingi wa wafuata upepo kujifanya kama ni wafia chama for nothing ni tatizo lingine linalopelekea watu wengi kwenye hiki chama kuzubaa na wasiwe hata na uwezo wa kuhoji ujinga na ushenzi unaofanyika hadharani.

Leo hii ninapoandika hapa, karibu robo tatu ya watu wa chama hiki nchi nzima ni vilio tupu baada ya kushtukia michezo ya pata potea inayochezwa na Mbowe.

Kwa kuwa sasa tunaimba wimbo mmoja wote nchi nzima, nataka niwaambie kwamba, hakuna kenge yoyote ile ndani ya CCM yenye uwezo ama hata uthubutu wa kunipotosha nihame ndani ya CHADEMA.

Isipokuwa ni upumbavu ulizidi na ukavuka mipaka nikaamua kukaa pembeni kama hawa akina Ahobokile ambaye kipindi kile alidhani nimenunuliwa na CCM, leo naye ameamua kuutua mzigo.

Napokea simu na SMS nyingi sana za watu kupitia normal text na hata Inbox za hizi social networks watu wakitaka kujua nilijuaje haya mambo mapema vile.

Lakini baadhi yao siwajibu chochote kwa maksudi kwa sababu ni wanafiki watupu waliokuwa wanashupaza shingo zao kwamba wanajua nimeshanunuliwa na CCM na wengine wakasema nimehamia ACT ya Zitto.

Mwisho kwa uchache tu nasema kwamba; CHADEMA chini ya Mbowe binafsi siwezi kujidanganya kufanya chochote ndani ya CHADEMA kwa sababu najua itakuwa ni kazi bure tu ya kuendeleza mradi wake wa ulaji kutoka CCM na dola yao.

Just imagine mtu mwenye hadhi ya (CPA) Certified Public Accountant ndani ya chama ambaye alikuwa sehemu ya washauri wa chama kwenye masuala ya fedha Makao Makuu ya Chama na Mjumbe wa Kamati Kuu kama Ahobokile Mwaitenda;

Anaamua kujiuzulu nafasi zake zote ikiwemo ujumbe wa Kamati Kuu kisa hakubaliani na mienendo ya Mbowe ndani ya chama halafu wewe unayeambiwa kunja ngumi zako na usipokunja wewe ni mchawi unashupaza shingo kwa ujuaji.

Unahisi baada ya uchaguzi ikitokea Mbowe akatangazwa mshindi may be kwa maguvu ya dola ya CCM kukiongoza tena chama hiki kwa miaka mingine mitano hali ya Chama huko chini Itakuwaje?

Tundu Lissu ndiye mtu sahihi katika kipindi sahihi sana cha yeye kuwepo kwenye uongozi wa chama hiki.

Garatwa Francis,
Dar es Salaam, Tanzania.
22 Desemba, 2024.

View attachment 3183223
Tumecheleweshwa sana
 
NILIWAAMBIA MBOWE NI TAPELI WA KISIASA NDANI YA CHADEMA MKASEMA NIMENUNULIWA NA CCM; SASA KIKO WAPI?

Na; Garatwa Francis

Ukiambiwa muda ni Mwalimu wa haki uwe unaelewa. Wakati nawaambia Mbowe na genge lake wanakiuza chama na tunapoelekea wataanza kutuuza sisi wanachama ni wangapi walinielewa?

Tatizo kubwa la Chama chetu, tumejaza wafuata upepo wengi sana wasiotaka kujua maana na hata ukiwajuza maana huwa hawaelewi chochote.

Ujuaji mwingi wa wafuata upepo kujifanya kama ni wafia chama for nothing ni tatizo lingine linalopelekea watu wengi kwenye hiki chama kuzubaa na wasiwe hata na uwezo wa kuhoji ujinga na ushenzi unaofanyika hadharani.

Leo hii ninapoandika hapa, karibu robo tatu ya watu wa chama hiki nchi nzima ni vilio tupu baada ya kushtukia michezo ya pata potea inayochezwa na Mbowe.

Kwa kuwa sasa tunaimba wimbo mmoja wote nchi nzima, nataka niwaambie kwamba, hakuna kenge yoyote ile ndani ya CCM yenye uwezo ama hata uthubutu wa kunipotosha nihame ndani ya CHADEMA.

Isipokuwa ni upumbavu ulizidi na ukavuka mipaka nikaamua kukaa pembeni kama hawa akina Ahobokile ambaye kipindi kile alidhani nimenunuliwa na CCM, leo naye ameamua kuutua mzigo.

Napokea simu na SMS nyingi sana za watu kupitia normal text na hata Inbox za hizi social networks watu wakitaka kujua nilijuaje haya mambo mapema vile.

Lakini baadhi yao siwajibu chochote kwa maksudi kwa sababu ni wanafiki watupu waliokuwa wanashupaza shingo zao kwamba wanajua nimeshanunuliwa na CCM na wengine wakasema nimehamia ACT ya Zitto.

Mwisho kwa uchache tu nasema kwamba; CHADEMA chini ya Mbowe binafsi siwezi kujidanganya kufanya chochote ndani ya CHADEMA kwa sababu najua itakuwa ni kazi bure tu ya kuendeleza mradi wake wa ulaji kutoka CCM na dola yao.

Just imagine mtu mwenye hadhi ya (CPA) Certified Public Accountant ndani ya chama ambaye alikuwa sehemu ya washauri wa chama kwenye masuala ya fedha Makao Makuu ya Chama na Mjumbe wa Kamati Kuu kama Ahobokile Mwaitenda;

Anaamua kujiuzulu nafasi zake zote ikiwemo ujumbe wa Kamati Kuu kisa hakubaliani na mienendo ya Mbowe ndani ya chama halafu wewe unayeambiwa kunja ngumi zako na usipokunja wewe ni mchawi unashupaza shingo kwa ujuaji.

Unahisi baada ya uchaguzi ikitokea Mbowe akatangazwa mshindi may be kwa maguvu ya dola ya CCM kukiongoza tena chama hiki kwa miaka mingine mitano hali ya Chama huko chini Itakuwaje?

Tundu Lissu ndiye mtu sahihi katika kipindi sahihi sana cha yeye kuwepo kwenye uongozi wa chama hiki.

Garatwa Francis,
Dar es Salaam, Tanzania.
22 Desemba, 2024.

View attachment 3183223
MBOWE amefeli
 
Mimi ni kati ya wale Watanzania wengi wapenda mabadiliko, na waliomkubali Kamanda Mbowe enzi hizo. Ila pale alipoanza kujenga ushawishi wa kutaka kuendelea na nafasi ya Uenyekiti, nilikuwa pia mmoja wa wale wapenda mabadiiko wachache wasio na chama; niliyempinga!

Na hata sasa nitaendelea kuusimamia msimamo wangu. Alitakiwa kuwaachia na wengine nao kuiongoza CHADEMA. Na hivyo ingeleta maana sahihi ya demokrasia, na pia ile dhana potofu ya kuihusisha CHADEMA na ukanda, ukoo, ukabila, saccos ya mtu, nk.
 
NILIWAAMBIA MBOWE NI TAPELI WA KISIASA NDANI YA CHADEMA MKASEMA NIMENUNULIWA NA CCM; SASA KIKO WAPI?

Na; Garatwa Francis

Ukiambiwa muda ni Mwalimu wa haki uwe unaelewa. Wakati nawaambia Mbowe na genge lake wanakiuza chama na tunapoelekea wataanza kutuuza sisi wanachama ni wangapi walinielewa?

Tatizo kubwa la Chama chetu, tumejaza wafuata upepo wengi sana wasiotaka kujua maana na hata ukiwajuza maana huwa hawaelewi chochote.

Ujuaji mwingi wa wafuata upepo kujifanya kama ni wafia chama for nothing ni tatizo lingine linalopelekea watu wengi kwenye hiki chama kuzubaa na wasiwe hata na uwezo wa kuhoji ujinga na ushenzi unaofanyika hadharani.

Leo hii ninapoandika hapa, karibu robo tatu ya watu wa chama hiki nchi nzima ni vilio tupu baada ya kushtukia michezo ya pata potea inayochezwa na Mbowe.

Kwa kuwa sasa tunaimba wimbo mmoja wote nchi nzima, nataka niwaambie kwamba, hakuna kenge yoyote ile ndani ya CCM yenye uwezo ama hata uthubutu wa kunipotosha nihame ndani ya CHADEMA.

Isipokuwa ni upumbavu ulizidi na ukavuka mipaka nikaamua kukaa pembeni kama hawa akina Ahobokile ambaye kipindi kile alidhani nimenunuliwa na CCM, leo naye ameamua kuutua mzigo.

Napokea simu na SMS nyingi sana za watu kupitia normal text na hata Inbox za hizi social networks watu wakitaka kujua nilijuaje haya mambo mapema vile.

Lakini baadhi yao siwajibu chochote kwa maksudi kwa sababu ni wanafiki watupu waliokuwa wanashupaza shingo zao kwamba wanajua nimeshanunuliwa na CCM na wengine wakasema nimehamia ACT ya Zitto.

Mwisho kwa uchache tu nasema kwamba; CHADEMA chini ya Mbowe binafsi siwezi kujidanganya kufanya chochote ndani ya CHADEMA kwa sababu najua itakuwa ni kazi bure tu ya kuendeleza mradi wake wa ulaji kutoka CCM na dola yao.

Just imagine mtu mwenye hadhi ya (CPA) Certified Public Accountant ndani ya chama ambaye alikuwa sehemu ya washauri wa chama kwenye masuala ya fedha Makao Makuu ya Chama na Mjumbe wa Kamati Kuu kama Ahobokile Mwaitenda;

Anaamua kujiuzulu nafasi zake zote ikiwemo ujumbe wa Kamati Kuu kisa hakubaliani na mienendo ya Mbowe ndani ya chama halafu wewe unayeambiwa kunja ngumi zako na usipokunja wewe ni mchawi unashupaza shingo kwa ujuaji.

Unahisi baada ya uchaguzi ikitokea Mbowe akatangazwa mshindi may be kwa maguvu ya dola ya CCM kukiongoza tena chama hiki kwa miaka mingine mitano hali ya Chama huko chini Itakuwaje?

Tundu Lissu ndiye mtu sahihi katika kipindi sahihi sana cha yeye kuwepo kwenye uongozi wa chama hiki.

Garatwa Francis,
Dar es Salaam, Tanzania.
22 Desemba, 2024.

View attachment 3183223
Kweli wengi tuliamini maneno matamu ya speach za Mbowe lakini speach yake ya tarehe 21/12/2024 imetufunguwa macho wengi. Imeonyesha Mbowe ni nani. Uzuri ukweli haufutiki lazima ipo siku ujitokeza tu . Kizuri zaidi watu wa system walio tumwa kuanzisha vyama kwaajiri kuhadaa watanzania wanaendelea kuzeheka na kutoweka . Kina Luyatanga, cheyo, Lipumba, Mbatia na wengine.
 
NILIWAAMBIA MBOWE NI TAPELI WA KISIASA NDANI YA CHADEMA MKASEMA NIMENUNULIWA NA CCM; SASA KIKO WAPI?

Na; Garatwa Francis

Ukiambiwa muda ni Mwalimu wa haki uwe unaelewa. Wakati nawaambia Mbowe na genge lake wanakiuza chama na tunapoelekea wataanza kutuuza sisi wanachama ni wangapi walinielewa?

Tatizo kubwa la Chama chetu, tumejaza wafuata upepo wengi sana wasiotaka kujua maana na hata ukiwajuza maana huwa hawaelewi chochote.

Ujuaji mwingi wa wafuata upepo kujifanya kama ni wafia chama for nothing ni tatizo lingine linalopelekea watu wengi kwenye hiki chama kuzubaa na wasiwe hata na uwezo wa kuhoji ujinga na ushenzi unaofanyika hadharani.

Leo hii ninapoandika hapa, karibu robo tatu ya watu wa chama hiki nchi nzima ni vilio tupu baada ya kushtukia michezo ya pata potea inayochezwa na Mbowe.

Kwa kuwa sasa tunaimba wimbo mmoja wote nchi nzima, nataka niwaambie kwamba, hakuna kenge yoyote ile ndani ya CCM yenye uwezo ama hata uthubutu wa kunipotosha nihame ndani ya CHADEMA.

Isipokuwa ni upumbavu ulizidi na ukavuka mipaka nikaamua kukaa pembeni kama hawa akina Ahobokile ambaye kipindi kile alidhani nimenunuliwa na CCM, leo naye ameamua kuutua mzigo.

Napokea simu na SMS nyingi sana za watu kupitia normal text na hata Inbox za hizi social networks watu wakitaka kujua nilijuaje haya mambo mapema vile.

Lakini baadhi yao siwajibu chochote kwa maksudi kwa sababu ni wanafiki watupu waliokuwa wanashupaza shingo zao kwamba wanajua nimeshanunuliwa na CCM na wengine wakasema nimehamia ACT ya Zitto.

Mwisho kwa uchache tu nasema kwamba; CHADEMA chini ya Mbowe binafsi siwezi kujidanganya kufanya chochote ndani ya CHADEMA kwa sababu najua itakuwa ni kazi bure tu ya kuendeleza mradi wake wa ulaji kutoka CCM na dola yao.

Just imagine mtu mwenye hadhi ya (CPA) Certified Public Accountant ndani ya chama ambaye alikuwa sehemu ya washauri wa chama kwenye masuala ya fedha Makao Makuu ya Chama na Mjumbe wa Kamati Kuu kama Ahobokile Mwaitenda;

Anaamua kujiuzulu nafasi zake zote ikiwemo ujumbe wa Kamati Kuu kisa hakubaliani na mienendo ya Mbowe ndani ya chama halafu wewe unayeambiwa kunja ngumi zako na usipokunja wewe ni mchawi unashupaza shingo kwa ujuaji.

Unahisi baada ya uchaguzi ikitokea Mbowe akatangazwa mshindi may be kwa maguvu ya dola ya CCM kukiongoza tena chama hiki kwa miaka mingine mitano hali ya Chama huko chini Itakuwaje?

Tundu Lissu ndiye mtu sahihi katika kipindi sahihi sana cha yeye kuwepo kwenye uongozi wa chama hiki.

Garatwa Francis,
Dar es Salaam, Tanzania.
22 Desemba, 2024.

View attachment 3183223
Kampigie kura ccm huku hakuna box la kura.
Mchague chizi uone chama kitakapoelekea
 
Sio
NILIWAAMBIA MBOWE NI TAPELI WA KISIASA NDANI YA CHADEMA MKASEMA NIMENUNULIWA NA CCM; SASA KIKO WAPI?

Na; Garatwa Francis

Ukiambiwa muda ni Mwalimu wa haki uwe unaelewa. Wakati nawaambia Mbowe na genge lake wanakiuza chama na tunapoelekea wataanza kutuuza sisi wanachama ni wangapi walinielewa?

Tatizo kubwa la Chama chetu, tumejaza wafuata upepo wengi sana wasiotaka kujua maana na hata ukiwajuza maana huwa hawaelewi chochote.

Ujuaji mwingi wa wafuata upepo kujifanya kama ni wafia chama for nothing ni tatizo lingine linalopelekea watu wengi kwenye hiki chama kuzubaa na wasiwe hata na uwezo wa kuhoji ujinga na ushenzi unaofanyika hadharani.

Leo hii ninapoandika hapa, karibu robo tatu ya watu wa chama hiki nchi nzima ni vilio tupu baada ya kushtukia michezo ya pata potea inayochezwa na Mbowe.

Kwa kuwa sasa tunaimba wimbo mmoja wote nchi nzima, nataka niwaambie kwamba, hakuna kenge yoyote ile ndani ya CCM yenye uwezo ama hata uthubutu wa kunipotosha nihame ndani ya CHADEMA.

Isipokuwa ni upumbavu ulizidi na ukavuka mipaka nikaamua kukaa pembeni kama hawa akina Ahobokile ambaye kipindi kile alidhani nimenunuliwa na CCM, leo naye ameamua kuutua mzigo.

Napokea simu na SMS nyingi sana za watu kupitia normal text na hata Inbox za hizi social networks watu wakitaka kujua nilijuaje haya mambo mapema vile.

Lakini baadhi yao siwajibu chochote kwa maksudi kwa sababu ni wanafiki watupu waliokuwa wanashupaza shingo zao kwamba wanajua nimeshanunuliwa na CCM na wengine wakasema nimehamia ACT ya Zitto.

Mwisho kwa uchache tu nasema kwamba; CHADEMA chini ya Mbowe binafsi siwezi kujidanganya kufanya chochote ndani ya CHADEMA kwa sababu najua itakuwa ni kazi bure tu ya kuendeleza mradi wake wa ulaji kutoka CCM na dola yao.

Just imagine mtu mwenye hadhi ya (CPA) Certified Public Accountant ndani ya chama ambaye alikuwa sehemu ya washauri wa chama kwenye masuala ya fedha Makao Makuu ya Chama na Mjumbe wa Kamati Kuu kama Ahobokile Mwaitenda;

Anaamua kujiuzulu nafasi zake zote ikiwemo ujumbe wa Kamati Kuu kisa hakubaliani na mienendo ya Mbowe ndani ya chama halafu wewe unayeambiwa kunja ngumi zako na usipokunja wewe ni mchawi unashupaza shingo kwa ujuaji.

Unahisi baada ya uchaguzi ikitokea Mbowe akatangazwa mshindi may be kwa maguvu ya dola ya CCM kukiongoza tena chama hiki kwa miaka mingine mitano hali ya Chama huko chini Itakuwaje?

Tundu Lissu ndiye mtu sahihi katika kipindi sahihi sana cha yeye kuwepo kwenye uongozi wa chama hiki.

Garatwa Francis,
Dar es Salaam, Tanzania.
22 Desemba, 2024.

View attachment 3183223
Binafsi sioni sura ya utapeli wa mbowe na nitakuwa wa mwisho kuamini hilo ila nachoona angepisha tu kuepusha kuchafuliwa kama ivi
 
Hahaha kama chama kinampa utajiri mbona Lipumba diyo tajiri, na Mzee wa ubwabwa naye tajiri? Yani huu utajiri uko chadema tu?

Vyama 19 vyote vipo hai lakini saccos ni chadema tu?
 
NILIWAAMBIA MBOWE NI TAPELI WA KISIASA NDANI YA CHADEMA MKASEMA NIMENUNULIWA NA CCM; SASA KIKO WAPI?

Na; Garatwa Francis

Ukiambiwa muda ni Mwalimu wa haki uwe unaelewa. Wakati nawaambia Mbowe na genge lake wanakiuza chama na tunapoelekea wataanza kutuuza sisi wanachama ni wangapi walinielewa?

Tatizo kubwa la Chama chetu, tumejaza wafuata upepo wengi sana wasiotaka kujua maana na hata ukiwajuza maana huwa hawaelewi chochote.

Ujuaji mwingi wa wafuata upepo kujifanya kama ni wafia chama for nothing ni tatizo lingine linalopelekea watu wengi kwenye hiki chama kuzubaa na wasiwe hata na uwezo wa kuhoji ujinga na ushenzi unaofanyika hadharani.

Leo hii ninapoandika hapa, karibu robo tatu ya watu wa chama hiki nchi nzima ni vilio tupu baada ya kushtukia michezo ya pata potea inayochezwa na Mbowe.

Kwa kuwa sasa tunaimba wimbo mmoja wote nchi nzima, nataka niwaambie kwamba, hakuna kenge yoyote ile ndani ya CCM yenye uwezo ama hata uthubutu wa kunipotosha nihame ndani ya CHADEMA.

Isipokuwa ni upumbavu ulizidi na ukavuka mipaka nikaamua kukaa pembeni kama hawa akina Ahobokile ambaye kipindi kile alidhani nimenunuliwa na CCM, leo naye ameamua kuutua mzigo.

Napokea simu na SMS nyingi sana za watu kupitia normal text na hata Inbox za hizi social networks watu wakitaka kujua nilijuaje haya mambo mapema vile.

Lakini baadhi yao siwajibu chochote kwa maksudi kwa sababu ni wanafiki watupu waliokuwa wanashupaza shingo zao kwamba wanajua nimeshanunuliwa na CCM na wengine wakasema nimehamia ACT ya Zitto.

Mwisho kwa uchache tu nasema kwamba; CHADEMA chini ya Mbowe binafsi siwezi kujidanganya kufanya chochote ndani ya CHADEMA kwa sababu najua itakuwa ni kazi bure tu ya kuendeleza mradi wake wa ulaji kutoka CCM na dola yao.

Just imagine mtu mwenye hadhi ya (CPA) Certified Public Accountant ndani ya chama ambaye alikuwa sehemu ya washauri wa chama kwenye masuala ya fedha Makao Makuu ya Chama na Mjumbe wa Kamati Kuu kama Ahobokile Mwaitenda;

Anaamua kujiuzulu nafasi zake zote ikiwemo ujumbe wa Kamati Kuu kisa hakubaliani na mienendo ya Mbowe ndani ya chama halafu wewe unayeambiwa kunja ngumi zako na usipokunja wewe ni mchawi unashupaza shingo kwa ujuaji.

Unahisi baada ya uchaguzi ikitokea Mbowe akatangazwa mshindi may be kwa maguvu ya dola ya CCM kukiongoza tena chama hiki kwa miaka mingine mitano hali ya Chama huko chini Itakuwaje?

Tundu Lissu ndiye mtu sahihi katika kipindi sahihi sana cha yeye kuwepo kwenye uongozi wa chama hiki.

Garatwa Francis,
Dar es Salaam, Tanzania.
22 Desemba, 2024.

View attachment 3183223
Hawa wazee wamenifurahisha sana kwenye hii picha
 
Back
Top Bottom