Advance Zanzibar wanafunzi waambiwa kombi haijulikani

Advance Zanzibar wanafunzi waambiwa kombi haijulikani

Nyalo

Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
10
Reaction score
0
Wakati watu wanaendelea kuzungumzia uozo wa matokeo ya form4, huku zenj kuna majanga ya shule1 kwa wanafunzi wa adv wanaotarajiwa kufanya mthn may mwaka huu.

Wanafunz hao waliokua waksoma komb ya phs, comp sci na math, waletewa habari iv juzi kua kombi hyo haijulkan mpaka pawepo na somo la chemy.

Cjui ni kweli? Walimu wao wabaki kung'ang'anaa sharubu na wengine kuwaambia at wa add na chemy japo wakpata " F". Wakti uko mwanzo waliwakatalia kuchukua chemy na kuwaambia kua utakua mzgo mkubwa.

Msaada kwa hawa watu jaman wafanyeje kama hili ni kweli kua iyo komb ya pcom haitambulik?
 
Duu hiyo kali, sijawahi sikia PCOM=Physics, Computer & Math, Kombi zinazojulikana ni PCM=Physics, Chemistry & Math, PGM= Physics, Geography & Math. Sasa walimu washangae sasa kwani hawakuwa na uelewa wanachowafundisha wanafunzi wao?

Je, shule inapoanzishwa si inaenda kujisajili kwa mamlaka husika za elimu na kuonesha masomo yao na mpangilio wa combination? Je, wakaguzi wa shule huko hakuna? Na hata wanafunzi nao, kweli mtu A-Level hana ufahamu wa anachosoma?
 
Duu hiyo kali, sijawahi sikia PCOM=Physics, Computer & Math, Kombi zinazojulikana ni PCM=Physics, Chemistry & Math, PGM= Physics, Geography & Math.

Sasa walimu washangae sasa kwani hawakuwa na uelewa wanachowafundisha wanafunzi wao? Je, shule inapoanzishwa si inaenda kujisajili kwa mamlaka husika za elimu na kuonesha masomo yao na mpangilio wa combination?

Je, wakaguzi wa shule huko hakuna? Na hata wanafunzi nao, kweli mtu A-Level hana ufahamu wa anachosoma?

Kwa kweli hata haiyeleweki ayo maswali yako yote ndiyo nnayo jiuliza mimi. At tena hii shule ni ya serekali voo. Cjui huyu mwalimu mkuu wao kapopa au tatzo ni wizara yao ya elimu?
 
Back
Top Bottom