Advanced hacking; Don't be a script kiddie..

Kweli kabisa the freedom ni mtu asiye na makuu ukipm anakujibu kwa wakati bila maringo
 
Yaani humu hakuna hata nilichoelewa...ngoja nirud play store tu nikapakue hacker apps,
Nitarud kuwapa mrejesho nimefikia WAP kwenye hatua za awal kuwa hacker
 
yaap.. Bahati uzuri kila kitu kipo online tena free ushindwe ww tu..
 
Hvi kujua language nying km kingereza, kifaransa, kiswahili au hapo sjaelewa mwamba
 
Bro hv unaweza kuhack wasap ukaona mambo anayofany target wako?
 
Duh!! Hapa napagawa tu v2 nataman kujua kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…