Advice

Advice

wakusepa

Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
83
Reaction score
5
jamani nimehtimu kidato cha 4 mwaka 2007 na nika awarded na div two.baada ya hapo nilienda advance kusoma.HGL nikawa awarded div 3 point 15,
sikuomba chuo kwa kuogopa kusoma ualimu,kwasbb nilijua ntapata ualim.lengo langu sikupenda kuw mwalim bal kuw mwanasheria au daktar msaidiz. Hvyo nahtaj kwenda chuo cha serikali ngaz ya diploma nikasome ila isiwe diploma ya ualimu.
Hvyo naomben mnishaur mliotangulia kwan nataman kwenda private lakn wazee hawana uwezo,hvyo mnishaur niende diploma yoyote ila isiwe ualim ni hayo tu na gharam zinazonimudu.. Ahsanten
 
nimehitimu form 4. Nina alama hizi kiswahili B,geography B,english C,history C,civics B,physics D,chemistry D,biology C,mathematics D.
Jaman nahtaj kwenda moja kwa moja nikasome diploma aidha chuo cha afya au chochote kile ila isiwe diploma ya ualimu.na hicho kiwe cha gharama nafuu namaanisha kiwe cha serikali, ushaur wenu kwa alama hzo je ntapata chuo?
NB.ualim siwez,jaman na wala gharama za vyuo vya private sina uwezo kbsa
 
nimehitimu form 4. Nina
alama hizi kiswahili
B,geography B,english
C,history C,civics B,physics
D,chemistry D,biology
C,mathematics D.
Jaman nahtaj kwenda moja
kwa moja nikasome
diploma aidha chuo cha
afya au chochote kile ila
isiwe diploma ya ualimu.na
hicho chuo kiwe cha gharama
nafuu namaanisha kiwe cha
serikali, ushaur wenu kwa
alama hzo je ntapata chuo?
NB.ualim siwez,jaman na
wala gharama za vyuo vya
private sina uwezo kbsa
 
jamani nimehtimu kidato cha 4 mwaka 2007 na nika awarded na div two.baada ya hapo nilienda advance kusoma.HGL nikawa awarded div 3 point 15,
sikuomba chuo kwa kuogopa kusoma ualimu,kwasbb nilijua ntapata ualim.lengo langu sikupenda kuw mwalim bal kuw mwanasheria au daktar msaidiz. Hvyo nahtaj kwenda chuo cha serikali ngaz ya diploma nikasome ila isiwe diploma ya ualimu.
Hvyo naomben mnishaur mliotangulia kwan nataman kwenda private lakn wazee hawana uwezo,hvyo mnishaur niende diploma yoyote ila isiwe ualim ni hayo tu na gharam zinazonimudu.. Ahsanten

kwenye tangazo la kozi za afya mwaka jana walikuwa wanaaka C mbili kwa diploma na wewe una moja na nikiangalia matokeo yako naona unaweza arts na sio science bora uendelee na njia hiyo.....labda jaribu kutafuta info za chuo cha uongozi wa mahakama (kama sijakosea jina) kiko tanga labda unaweza kubahatika ...
 
Back
Top Bottom