Advise kwa anaye fahamu procedures za ugawaji wa ardhi serikalini

Investaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2015
Posts
819
Reaction score
756
Mim nilikuwa na wazo la kutengeneza website/system ambayo serikal itakuwa inaitumia kutoa information zote za mambo yanayohusiana na upimaji wa ardhi/viwanja kwa nchi nzima kwa mfano morogoro eneo la sangasanga upimaji wa viwanja unaanza tarehe fulan n.k pia na mikon mingine hivyo hivyo ili mradi wananchi wanao taka viwanja wapate kujua. Kwanza mnaonaje hii idea ni useful
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…