advocate mwale ahofia maisha yake akiwa mahabusu

HUU NI WIVU AU HUSDA, KAMA MAWAKILI WANAZUNGUKANA WENYEWE KWELI WANAWEZA KUMUUA
Story bado haijajitosheleza huenda kuna kaundani ka umafia, al-shabab wajuzi tujuzeni
 
Sijajua Mwale alikosa nini mpaka awekwe rumande bila dhamana ebu fungukeni
 
hivi nani anataarifa sahii ya kiasi cha pesa ailichokutwa nacho ? maana kila mtu anasema yake.
 
Sijajua Mwale alikosa nini mpaka awekwe rumande bila dhamana ebu fungukeni




Kuna tetesi nimezipata ya kwamba kaka yake mwanahasha anahusika kwa 90% na mambo haya!
(riz 1)
Ntawajuza zaidi kwn nafuatilia kwa ukaribu kwa alinitonya!

Hakika mambo ni mengi sana!
 

Sema umemuona mpenzi wake_sio mke,...huyu jamaa hana mke bhana,..ana mademu kibao,...ila ka_kesi haka kamepinda kweli kweli....ngoja tusubiri.
 
Kuna tetesi nimezipata ya kwamba kaka yake mwanahasha anahusika kwa 90% na mambo haya!
(riz 1)
Ntawajuza zaidi kwn nafuatilia kwa ukaribu kwa alinitonya!

Hakika mambo ni mengi sana!



haiwezekani bwana hiyo soo ingezimwa siku nyingi. alshabab ukiniambia ntakuelewa maana paka vyombo vya ulinzi vya marekani viliisimamia kidete hiyo ishu.
 
Dah!jamani!!30 billions!!kuna watu wana hela jamani..why not us??
 
haiwezekani bwana hiyo soo ingezimwa siku nyingi. alshabab ukiniambia ntakuelewa maana paka vyombo vya ulinzi vya marekani viliisimamia kidete hiyo ishu.


bucho

Unakumbuka maneno yangu?
Leo hii Jr Mwale yuko wapi?
 
Last edited by a moderator:
bucho popote pale ulipo mbona haujitokezi?

Jackbauer hapo ulipo hebu zunguka kipande hii!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…