Mkurugenzi wa Sheria wa Timu ya Yanga Adv. Saimon Patrick ateuliwa Baraza Kuu la FIFA kuwa miongoni mwa Jopo la Wanasheria 21 kutoka Mabara yote yenye Wanachama wa FIFA.
Majukumu yao yakiwa ni kuisaidia FIFA kushughulikia masuala mbalimbali ya kisheria kwa Wachezaji kwa kipindi cha miaka mitatu ambapo majukumu hayo yatakoma mwaka 2026.