Ae organism electric analyser

special agent

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
325
Reaction score
74
Wana JF Naomba kuuliza Je? Kuna ukweli wowote kuhusu kifaha tajwa hapo juu? Coz nimesikia kuwa kinapima magonjwa yote ya binadamu kwa kutumia sensor yaani mtu anakishika na majibu yanasoma kwenye computer. Sasa nataka kujua kutoka kwa wenye ufahamu je hii kitu ni kweli? Proffessionals karibuni tusikie kutoka kwenu,........................?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…