And someone in TZ has the confidence to call the KE SGR a white elephant..watu 350,000 ni mji mdogo sana. Hii Sgr mumetupa tu pesa.
Nikiangalia Moro kwa Wikipedia picha ya kwanza inaonyesha mji wa mabati (brown rusted roofs) hapo kwa city center .Pia vumbi ,matope na vibanda tele pale.Vumbi na tope kwa kenya huanzia Nairobi [emoji2][emoji2]
60% of Nairobi Population lives in 40% Nairobi City. Kibera.
Kweki broNikiangalia Moro kwa Wikipedia picha ya kwanza inaonyesha mji wa mabati (brown rusted roofs) hapo kwa city center .Pia vumbi ,matope na vibanda tele pale.
Mara ya Mwisho umeenda lini?
Morogoro is as little as Naivasha TownDo u think 350K ni Kidogo??
Fyi Morogoro town is by Far More populated than Nakuru or even Kisumu.
Nakuru ina watu zaidi ya 500,000 na hio ni ya nne kwa ukubwa Kenya. Hapana cheza na Kenya sisi tuko very urbanised hatuishi ushago kama nyinyi.
Mimi ni mkenya lakini Moro imechapa kenya hands down
Tuusan kama wewe ni Mkenya basi mimi ni MunguMimi ni mkenya lakini Moro imechapa kenya hands down
Tuusan kama wewe ni Mkenya basi mimi ni MunguMimi ni mkenya lakini Moro imechapa kenya hands down
From Dar mwendo na population ni small, smaller smallest sio Kama Kenya big bigger biggest tunamalizia na big big big bigger. Ndio sababu SGR Kenya ni viable....mzigo wenu mkubwa unashukia Dar ilhali Kenya ni Mombasa, Nairobi, Nakuru, Eldoret, Kisumu afu Uganda πππDo u think 350K ni Kidogo??
Fyi Morogoro town is by Far More populated than Nakuru or even Kisumu.
Huijui Morogoro wewe
Labda ya mwaka 90
Morogoro bado ni ile ya miaka ya 50s
80% Kenyans live in rural areas, 70% Tanzanians live in rural, weka taarifa zako sawasawa.
Tuliza nyegeze Dar yenyewe haina barabara Kama za Mombasa na Kisumu...onyesha Nyang'aus interchange za Dar πππ
Hapo inapita tu, hiyo inaelekea Dodoma, Mwanza hadi Kigali
Interchange tafadhali bongolala π
Labda tunatofautiana,lakini kwa mandhari ya msanvu kama pamebadilika sana.
Bado Moro ni 50s
Huijui Morogoro wewe
Labda ya mwaka 90
Ya mwaka wa 50 according to Kenyan Standards.
Did you Know Morogoro before I shared?
Now you wish to Visit Morogoro, Donβt you?
Dar mpaka Moro Yana Kijiji to Mashambani
Naivasha ni Sawa na Kahama mkuu.
Tihahahaha...hatutaki ukuwe mkenya.we can do without youMimi ni mkenya lakini Moro imechapa kenya hands down
Tulia wewe ...potential hzo tuachie sisiWapogolo na Waluguru wameshindwa kuboresha Moro, huo mji nimeishi na una potential sana maana magari yote yanayokwenda kwenye mataifa kadhaa majirani wa Tz hupitia kwenye huo mji, pia hata magari ya kwenda mikoani.
Lakini mji wenyewe haukui, kila nikirudi hata baada ya miaka mingapi, huwa nakuta hali ni ile ile nilivyoiacha.