Afadhali changudoa

Tafwadhali nitake radhi naiheshimu sana ndoa yangu takatifu na naogopa kuikashifu vile ilitiwa wakfu na askofu.

HAhahahahaah Askofu yupi mpwa Gene Robinson yule wa Anglican?
 
The Following User Says Thank You to Chrispin For This Useful Post:

Gaijin (Today)



Inaelekea leo nimeamka vizuri. Kupata senksi za malijendi kama hawa inahitaji uwe umetulia. Leo ntakunywa valuu kwa afya ya Gaijin!
 
Tatizo mnachukua vi sista duu mnavyoviona kwenye ma Club, mtaani mahoteli, vyuoni nk, hao wapo ki biashara zaidi
 
The Following User Says Thank You to Chrispin For This Useful Post:

Masanilo (Today)




Ngoja niihifadhi kwa hapa manake wewe huchelewagi kuzirimuvu hizi kitu adimu na tamu.
 
Mademu wengi wa bongo awe wa Masaki, Mikocheni, Sinza au Buguruni ndio zao it is just the matter of time when ataanza na hivi vitabia vinavyokera kama alivyooanisha Ngoshwe
 
Daaah pole sana mpendwa ..ukiona dalili hizo jua huyo sio muolewaji, mkaaji, au mwenye nia ya kuwa na wewe katika mahusiano ya muda mrefu...Mwanamke mwenye hekima ,upendo na busara hawezi kufanya mambo hayo hata siku moja ..angalia usitaarabu mwingine.
 

vere vere profeshionale dan!!!! Congrats... U r experienced
 

Ya nini yote haya, ndo maana mimi niliyakimbia haya na kuamua kuoa!
 

Ngoswe,
Samahani kama sijakuelewa vizuri,unamaanisha AFADHALI YA CHANGUDOA KULIKO CHANGUDOA AU?
S
 
Nikiwashauri vijana wajiunge kwenye chama changu cha kustarehe na mabaamedi wala hata hawanielewagi.

Acha wachunwe, si wanajitakia wenyewe?

Hivi mabaamedi sio machangudoa!!!!!!!!!
 
Uyo ningempata mimi angenifaa,asingerudia tena,ila kaka piga chini faster,ila cd sio inchu!
 
du mambo haya jamani................'"TO LOVE AND 2B LOVED IS THE GREATEST HAPPINESS IN EXISTENCE"'
 
Mademu wengi wa bongo awe wa Masaki, Mikocheni, Sinza au Buguruni ndio zao it is just the matter of time when ataanza na hivi vitabia vinavyokera kama alivyooanisha Ngoshwe

Nikweli kuna baadhi ya wanawake wanatabia ya kuchuna wanaume kama huyo dada ila wengi wao ukitaka mchezo hawabanii kabisa anakupa mpaka ukitaka visivyohalalishwa sasa huyo mdada kazidi.............pia kuna mijanaume michache ina tabia mbaya ya kupenda kutegemea mademu zao nayo pia inakera.........
 
Kuna dadapoa wengine wastaarabu zaidi ya huyu uliemwongelea hapa ambaye dalili zote za kichangu anazo,nikiwa chuo kuna dada mmoja tulifahamiana alikuwa anajiuza kwenye hoteli za kitalii akanipigia simu mbona sionekani? nikamwambia nipo kitandani naumwa malaria akaja na taxi akanichukua na kunipeleka kwake nikawa naogeshwa,nalishwa kwa siku 3 mpaka nilipo pona na kurudi chuo.Sasa hivi ni mke wa kigogo serikalini katulia utadhani sio yeye.
 
senkyu
 
I was doing the same,especial kwa wale wanaume ving'ang'anizi, anakusumbua mpaka unakarahika,anakuja na mbwembwe za kwamba yeye ni mtoto wa rostam aziz,sasa unafikiri matokeo yake ni nini? lazima uchunwe mpaka utie akili,mpaka ukija amka kutoka usingizini na kujua hapa sitakiwi nakuwa nimemaliza nusu au robo tatu ya saving yako.
thanks GOD nimempata aliye kumoyo now,sithubutu kumuomba hata hela ya kununua maji ya uhai
 
Haya ndiyo matoke ya kutongoza kwa kujisifia ili ukubaliwe kiurahisi! Sasa ndo wakati wa kutimiza hizo ahadi ulizotoa... Siku nyingine ukiwa untongoza unatakiwa kuwa muwaz na mkweli ili kuepuka kuwawezesha hao warembo kuvuna wasichopanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…