Afadhali changudoa

Haya ndiyo matoke ya kutongoza kwa kujisifia ili ukubaliwe kiurahisi! Sasa ndo wakati wa kutimiza hizo ahadi ulizotoa... Siku nyingine ukiwa untongoza unatakiwa kuwa muwaz na mkweli ili kuepuka kuwawezesha hao warembo kuvuna wasichopanda
Wengine ni tabia yao, hata bila ya kujisifia atakuwa na tabia alizozitaja Ngoshwe!
 
Pole sana
Ila haijakaa sawa kabisa... Mdada wa namna hiyo wala hana nia njema nawe.
Sasa nawe imekuwaje bado unaendelea naye hata baada ya kujua yote hayo kwake?
au ndo amekufumba macho kwa kawaida waweza kumvumilia mara mbili au tatu tu kisha unaachana naye.

Nakushauri usi implement hilo wazo baya la changudoa...Madhara yake ni makubwa.
 

Usione wanapendeza wanagharamikiwa
 
Mwanamke kama huyu ni mufilisi hana maana, narudia tena kauli yako heri ya changudoa
 
Mwanamke kama huyu ni mufilisi hana maana, narudia tena kauli yako heri ya changudoa

Hivi nini hasa mpaka unataabika na gharama zote hizo?cha mno ni nini alichonacho huyo mwanamke!ukijiuliza hivyo tu!unatambaa na kuachana nae!inauma sana mwisho wa siku unapokuta hata mashine yake ni tasteless!utajuta.
 
Hivi nini hasa mpaka unataabika na gharama zote hizo?cha mno ni nini alichonacho huyo mwanamke!ukijiuliza hivyo tu!unatambaa na kuachana nae!inauma sana mwisho wa siku unapokuta hata mashine yake ni tasteless!utajuta.
not eatable hahahahahahaha
 
Haya ndiyo matoke ya kutongoza kwa kujisifia ili ukubaliwe kiurahisi! Sasa ndo wakati wa kutimiza hizo ahadi ulizotoa... Siku nyingine ukiwa untongoza unatakiwa kuwa muwaz na mkweli ili kuepuka kuwawezesha hao warembo kuvuna wasichopanda

kweli kabisa
 
thidanganyiki wa sekondari ndo safi na sifa yao kubwa ni reliability, availability and cheap ness.
 
..... watu kama hawa mnakutana nao wapi?

Hawa mbona wapo kila kona hata maofisini, majumbani, mitaani, kanisani hata hapo ulipo yawezekana wapo wengi tu sema tu hawana alama lakini matendo ndo hayo hayo.
 
hehehehehe hizi sababu kali sana! Chapa lapa fasta!:A S 8:
 
thidanganyiki wa sekondari ndo safi na sifa yao kubwa ni reliability, availability and cheap ness.

Mkuu huogopi mvua 30? mmh hao bana wa zege noma...
 
Kama ndio urafiki/unyumba/ndoa zinapaswa kutunzwa hivyo, basi mtu lazima uwe na benki si tu akaunti yenye hela!!!
 
Haya ndiyo matoke ya kutongoza kwa kujisifia ili ukubaliwe kiurahisi! Sasa ndo wakati wa kutimiza hizo ahadi ulizotoa... Siku nyingine ukiwa untongoza unatakiwa kuwa muwaz na mkweli ili kuepuka kuwawezesha hao warembo kuvuna wasichopanda


Kwani hata usipotoa ahadi inasaidia basi kukwepa mizinga???
 
Tuache propaganda mwanauume pochi bwana na kuchunwa ndo raha yake hata kuutwa MWANAMUME. Ila kwa ayafanyayo huyo mwenzetu ni umalaya tena ule wa kumumaliza mtu. Hafai huyo tupa yeye kwenye dustbin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…