Afadhali jamaa wametengua

Amon93

Member
Joined
Jul 4, 2017
Posts
42
Reaction score
31
Maana yule jamaa alifanya uhuni wa waziwazi mchana kweupeee jaluo ya watu ikawa inalia na kulalamika tuuu...hata IEBC ile siku ya mwisho walikuwa wanazugazuga tu kutangaza matokeo wakenya bwaaana kama nawaona vile wazee wa uhuruto....I wish ije itokee kibongobongo wazee wa chama la kijani dah!!!
 
itawezekana ila hadi muhula wa mwisho wa mh. raisi

*Akifa shekhe kazi ya Mungu*
*Akifa mlevi sababu ya Pombe*
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…