Afadhali maiti imefia nyumbani (Simba )

Afadhali maiti imefia nyumbani (Simba )

Linus Mtei

Member
Joined
Feb 18, 2015
Posts
27
Reaction score
21
Kama endapo ingefungiwa kule ingekuwa shida kuisafirisha kuileta nyumbani
Tumetumia hela nyingi sana katika kuiendeleza timu ya simba, usajili umefanyika tena wa gharama lakin hawa mabwana wameamua kutudhalilisha
Wapi manara mbona sijakusikia jinadi naiyo. This is SIMBA.
Bigwa wa Africa, tunauwezo wa kuifunga timu yoyote " mimi nimenukuu tuu😆😆😆😆😆😆😆
 
Huu uzi umejaa kejeli, vijembe na mipasho! Ndiyo maana wadau wanauchungulia tu na kukimbia. Mhusika wa huu uzi anastahili kabisa kushtakiwa kwa uchochezi, uhujumu uchumi, ukwepaji kodi, utakatishaji fedha na pia uhusikaji na makundi ya uhalifu wa kimataifa.
 
Kama endapo ingefungiwa kule ingekuwa shida kuisafirisha kuileta nyumbani
Tumetumia hela nyingi sana katika kuiendeleza timu ya simba, usajili umefanyika tena wa gharama lakin hawa mabwana wameamua kutudhalilisha
Wapi manara mbona sijakusikia jinadi naiyo. This is SIMBA.
Bigwa wa Africa, tunauwezo wa kuifunga timu yoyote " mimi nimenukuu tuu😆😆😆😆😆😆😆
Kuna maiti nyingine karibia inatoa harufu punde.Manukato iliyopakwa yanaelekea kwisha muda wa matumizi!
 
Kuna timu iilalamika mwaka jana kuwa simba wanapuliza dawa vyumbani!! Wamekamatwa??
 
Back
Top Bottom