sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,280
- 7,930
Nimeangalia gem ya Misti na Tanzania, kiukwel kiwango chetu bado sio kizuri hasa hasa kwa upande wa kiungo, namshauri kocha ikiwezekana Ajibu apande ndege haraka aende misri kidogo labda anaweza kuokoa jahazi, kwa upande wa beki naona kidogo inajitahidi, forward Sina wasi wasi nazo kabisa ila na yule dogo mbape angekuwepo ingekua poa sana , tatizo kiungo tu ndo sio kizuri
Ajibu aende haraka akaongeze nguvu, ni hayo tu maoni yangu
Ajibu aende haraka akaongeze nguvu, ni hayo tu maoni yangu