Aina iyo ya mpira ndio iliyo mfanya Masio Maximo awe kocha aliyefanikiwa zaid kuliko kocha yoyote wa Stars hiv karibun. Miaka yote tulicheza ugenin na Mafarao tulipigwa 5 leo tumezuia na kufungwa 1. Kuna mabadiliko Chanya yanakuja taratibu.Mfumo wa Kocha ndiyo upo ivyo kupaki bus,Bocco na Farid walicheza kama wing midfielders na walikuwa wanalinda zaidi kuliko kushambulia.
Kiungo kilikuwa hakiisogezi timu mbele,leo hata pasi tatu hatujapiga zaidi ya kubutua tu.Himid Mao anajua kukaba ila huwa hajui wapi apeleke mpira (Sijawahi mkubali huyu),combination na Fei toto ilifail nilitegemea kocha amwingize Erasto Nyoni mapema sana kuongeza nguvu ila akawa anang'ata kucha tu wakati timu inashambuliwa muda wote akaingia kiungo wa Lipuli Mtoni Ally, ukizingatia hana uzoefu tukabaki vile vile tu.
Hii ni mechi ya kirafiki, wakati Kocha wa Egypt Kafanya sub kama 5hivi kocha wetu alikuwa bado anafurahia droo hadi zile dakika za 60.
Kiufupi Sisi tunamsimamizi wa mazoezi tu,nakocha anataka kupandisha cv yake kupitia Tz ndiyo maana anatutia aibu Kwa mpira wa hovyo.
Amunike akipaki bus kama leo na Senegal tutakula mkono saafi kabisa.
Tusitegemee makubwa sana
Hongera Aishi Manula kwa kubebeshwa gunia la misumari,hakika umelipambania
Kwel kabisa kulikua hakuna sababu yakufanya sub moja to wakati mechi yenyewe ni ya kirafiki, ilikua afanye sub nyingi kuangalia mapungufu ya wachezaji wake na kuajua na yupo vizur zaidiMfumo wa Kocha ndiyo upo ivyo kupaki bus,Bocco na Farid walicheza kama wing midfielders na walikuwa wanalinda zaidi kuliko kushambulia.
Kiungo kilikuwa hakiisogezi timu mbele,leo hata pasi tatu hatujapiga zaidi ya kubutua tu.Himid Mao anajua kukaba ila huwa hajui wapi apeleke mpira (Sijawahi mkubali huyu),combination na Fei toto ilifail nilitegemea kocha amwingize Erasto Nyoni mapema sana kuongeza nguvu ila akawa anang'ata kucha tu wakati timu inashambuliwa muda wote akaingia kiungo wa Lipuli Mtoni Ally, ukizingatia hana uzoefu tukabaki vile vile tu.
Hii ni mechi ya kirafiki, wakati Kocha wa Egypt Kafanya sub kama 5hivi kocha wetu alikuwa bado anafurahia droo hadi zile dakika za 60.
Kiufupi Sisi tunamsimamizi wa mazoezi tu,nakocha anataka kupandisha cv yake kupitia Tz ndiyo maana anatutia aibu Kwa mpira wa hovyo.
Amunike akipaki bus kama leo na Senegal tutakula mkono saafi kabisa.
Tusitegemee makubwa sana
Hongera Aishi Manula kwa kubebeshwa gunia la misumari,hakika umelipambania
Mmeanza kuleta ujuaji wenu. Kama ni wajuzi hiyo Timu mngeshapewa nyie mfundishe. Pia mkumbuke maamuzi sio ya Amunike peke yake bali ni bench zima la ufundi. Ninauhakika huyo Ajibu angekuwepo na timu ikafungwa bado mngesema ni kwavile KICHUYA hayupo.
Kocha alifanya makosa kumwacha bwana migomba na jonasi. Hawa ni viungo wazuri sana.
timu haiwezi kushambulia kama viugo hawana ushirikiano. Pia nadhani niwakati huyu bwana Amunike akakubali kushauriwa.
pia ni mgumu kufanya mahamuzi ya haraka kusaidia timu.
Muoga sana mkuuKwel kabisa kulikua hakuna sababu yakufanya sub moja to wakati mechi yenyewe ni ya kirafiki, ilikua afanye sub nyingi kuangalia mapungufu ya wachezaji wake na kuajua na yupo vizur zaidi
Kwa mpira huo hatuwezi kufika mbali hata kwa miaka 10Aina iyo ya mpira ndio iliyo mfanya Masio Maximo awe kocha aliyefanikiwa zaid kuliko kocha yoyote wa Stars hiv karibun. Miaka yote tulicheza ugenin na Mafarao tulipigwa 5 leo tumezuia na kufungwa 1. Kuna mabadiliko Chanya yanakuja taratibu.