Afande alikyewatuma wabakaji afunguliwa mashtaka

Afande alikyewatuma wabakaji afunguliwa mashtaka

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Kesi ya jinai iliyofunguliwa na wakili Paul Kisabo dhidi ya afisa wa polisi ASP. Fatma Kigondo anayetajwa kama "afande Kesi ya jinai ilifunguliwa na Wakilin Paul Kisabo dhidi ya Afisa wa polisi, ASPNFatma Kigondo anayetajwa kama "afande" inasubiri wito wa kupangiwa tarehe ya kusikilizwa ambapo tayari imepangwa mbele ya hakimu Francis Kishenvi. afisa huyo ameshtakiwa kwa kosa la kuwezesha genge la watu takribani watano waliomfanyia ukatili wa kingono ikiwemo ubakaji wa kikundi (gang rape) na ulawiti msichana wa Yombo dovya ambaye jina lake limehifadhiwa kwa usalama wake zaidi. hivyo kesi hiyo inatarajiwa kuanza kuunguruma siku yoyote
Screenshot 2024-08-22 135740.png
Screenshot 2024-08-22 135928.png
















2
 
Afunguliwe mara ngapi kwani? Si tangu juzi hii habarii iko humuu?
Au ndo muendelezo wa porojo uchwara kutoka kwa wanahabari? Em jeshi LA Polisi lithibitishe hili.

Ila afandee amekaa kiswazii mnoo, product ya vikindu kabisaa hii.
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watanzania wengi jambo la maana kwao ni mahusiano ya mapenzi tu mtu yupo radhi kuharibu future yake na future za wengine kwasababu ya uchi wa partner wake anaoamini kuwa anaumiliki yeye. 90% ya watanzania hawana akili timamu.
 
Back
Top Bottom