'Afande Fatma' afika Mahakamani, Hakimu aahirisha Kesi ya 'Binti wa Yombo' hadi Oktoba 7, 2024

'Afande Fatma' afika Mahakamani, Hakimu aahirisha Kesi ya 'Binti wa Yombo' hadi Oktoba 7, 2024

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Fatma Kigondo anayedaiwa kuwatuma watuhumiwa wa kosa la kubaka kwa kundi ametii wito wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma iliyomtaka kufika mahakamani hapo leo Septemba 5, 2024.

Mahakama hiyo Agosti 23 ilitoa wito wa kufika mahakamani (samansi) kwa Fatma baada ya ile ya awali iliyomtaka kuhudhuria mahakamani siku hiyo kutotekelezwa.

Shauri hilo la malalamiko namba 23627 lilifunguliwa na Paulo Kisabo na kupangwa mbele ya Hakimu Mkazi Francis Kishenyi.

Licha ya Fatma kufika mahakamani hapo leo Septemba 5, shauri liliitwa mbele ya hakimu Nyamburi Tungaraja ambaye aliliahirisha hadi Oktoba 7, 2024.

Mlalamikaji Kisabo ambaye ni wakili, akizungumza na waandishi wa habari nje ya mahakama, amesema hatua hiyo imefikiwa baada ya hakimu Kishenyi kuhamishwa kituo cha kazi.

Amesema kwa sasa kesi hiyo bado haijapangiwa hakimu mwingine wa kuisikiliza.

"Huenda itakapofika Oktoba 7 mwaka huu itakuwa imeshapangiwa hakimu... Lakini leo 'afande' amefika mahakamani," amesema Kisabo.

MWANANCHI

PIA SOMA:
 
Fatma Kigondo anayedaiwa kuwatuma watuhumiwa wa kosa la kubaka kwa kundi ametii wito wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma iliyomtaka kufika mahakamani hapo leo Septemba 5, 2024.

Mahakama hiyo Agosti 23 ilitoa wito wa kufika mahakamani (samansi) kwa Fatma baada ya ile ya awali iliyomtaka kuhudhuria mahakamani siku hiyo kutotekelezwa.

Shauri hilo la malalamiko namba 23627 lilifunguliwa na Paulo Kisabo na kupangwa mbele ya Hakimu Mkazi Francis Kishenyi.

Licha ya Fatma kufika mahakamani hapo leo Septemba 5, shauri liliitwa mbele ya hakimu Nyamburi Tungaraja ambaye aliliahirisha hadi Oktoba 7, 2024.

Mlalamikaji Kisabo ambaye ni wakili, akizungumza na waandishi wa habari nje ya mahakama, amesema hatua hiyo imefikiwa baada ya hakimu Kishenyi kuhamishwa kituo cha kazi.

Amesema kwa sasa kesi hiyo bado haijapangiwa hakimu mwingine wa kuisikiliza.

"Huenda itakapofika Oktoba 7 mwaka huu itakuwa imeshapangiwa hakimu... Lakini leo 'afande' amefika mahakamani," amesema Kisabo.

MWANANCHI

PIA SOMA:
bila picha ya afande ni uongo
 
Utembee na mume wa mtu! Wakuache wakuhesabie haki!!??
Ni sawa na kutembea na mke wa mtu kichapo ni kile kile...

Hapa kesi imekwisha
 
Fatma Kigondo anayedaiwa kuwatuma watuhumiwa wa kosa la kubaka kwa kundi ametii wito wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma iliyomtaka kufika

Mahakama hiyo Agosti 23 ilitoa wito wa kufika mahakamani (samansi) kwa Fatma baada ya ile ya awali iliyomtaka kuhudhuria mahakamani siku hiyo kutotekelezwa.

Shauri hilo la malalamiko namba 23627 lilifunguliwa na Paulo
Kisabo na kupangwa mbele ya Hakimu Mkazi Francis Kishenyi.

Licha ya Fatma kufika mahakamani hapo leo Septemba 5, shauri liliitwa mbele ya hakimu Nyamburi Tungaraja ambaye aliliahirisha hadi Oktoba 7, 2024.

Mlalamikaji Kisabo ambaye ni wakili, akizungumza na waandishi wa habari nje ya mahakama, amesema hatua hiyo imefikiwa baada ya hakimu Kishenyi kuhamishwa kituo cha kazi.

Amesema kwa sasa kesi hiyo bado haijapangiwa hakimu mwingine wa kuisikiliza.

"Huenda itakapofika Oktoba 7 mwaka huu itakuwa
imeshapangiwa hakimu... Lakini leo 'afande' amefika mahakamani," amesema Kisabo.

SOURCE: MWANANCHI
 
Back
Top Bottom