Afande Sele amdiss vikali Wakazi

Nucky Thompson

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
1,817
Reaction score
4,061
Afande Sele amesema hamjui msanii anayitwa wakazi kwa sura wala hajawahi kusikia nyimbo yake, ni baada ya wakazi kumkosoa kuhusu kauli aliyoitoa juu ya Vanessa Mdee, amesema amewahi kuwa group moja la whatsapp la wasanii amabapo ndipo aliona hilo jina la jamaa ambaye alikuwa akijifanya kama kiranja kwenye hilo group na ndiye aliyesababisha hadi aka left hilo group.


 
Hana lolote Mpuuzi tu ,anadhani kujua kingereza ndio kujua kila mitu
sio ngeli tu the guy is smart upstairs....go dig abt him...ni realest MCEE...We got few mcee in tz, he is one of them. huwezi mwelewa kama umetekwa na bongo flava nyepesi....wenzake ni kama one incredible, nash mC, zaiid, p the mc, fid q...
 
Una uhakika wakati anasema maneno hayo hakuwa amevuta bange!!!!!?
 
one among the realest MCEE bongo...mara nyingi watu kama hawa hua hawafahamiki sana as wanaimba conscious....mchek humo....







Duu huyu jamaa yuko vzr sikuwahi kumfuatlia..sa siku zote alikua wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…