Hana lolote Mpuuzi tu ,anadhani kujua kingereza ndio kujua kila mitu
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kumbe ni mtoto wa mzee Wasira dah mbona hajafanana na mzee wake.Wakazi ni msanii wa bongo fleva alafu ni.mtoto wa mzee Wasira wa kumzaa kabisa
Proove......Wakazi ni very smart upstairs...mtu kama afande sele aliesalula jukwaani hawezi mwelewa wakazi.
kumbe ndio hiki kinaigiza umarekani bongo??one among the realest MCEE bongo...mara nyingi watu kama hawa hua hawafahamiki sana as wanaimba conscious....mchek humo....
one among the realest MCEE bongo...mara nyingi watu kama hawa hua hawafahamiki sana as wanaimba conscious....mchek humo....