Jr. Gong Mira
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 1,281
- 1,300
Hhhhh hapo ktk wavuta bangiAfande kasema sugu ni mfupi,ana sura mbaya,mweusi,aliachwa na faiza,amepata mtoto uzeeni.
Mpaka kamuhusisha na marehemu mama yake sugu,afande wewe sugu ndo alikutoa kimuziki lakini mwisho wa yote wananchi wa morogoro sio wapumbavu kiasi hicho wakupe ubunge afande sele,hata huyo magu ambaye unajipendekeza kwake hawezi akakupa hata uenyekiti wa mtaa.
Afande sele ndo anayesababisha wavuta bangi tuonekane hatuna akili
Sio haolewi tu bali hata kuchomeka bamia lake na kuleta kiumbe nae ni bonge moja la mistake alilowahi fanya maishani mwake!Sugu amejifunza nadhani kuwa kahaba haoelewi
Ye mbona anamkaa mwanae au anataka tumwage kila ki2???Sugu haongeagi kuhusu sele,sele anaona wivu sugu ana hela,sele anatabia za kike,anasema eti sugu ana sura mbaya,mfupi,amepata mtoto uzeeni,sasa si tabia za kike hizi za kina mwajuma kule vingunguti
Asee hatari sanaSawa afande
Unaona sasa angesema tu sugu angemsaidia mbona alimsaidia kumtoa kwenye muzikiAfande sele ni looser maisha yamempiga alikua anaishi nyumba ya ukweni tokea mama tunda afariki kapoteza uelekeo kaishia kuwa king'asti, alimsaliti 20% aliyekua akimlisha yeye na familia yake
Marasta hawana upumbavu huoUmeona eeh? Marastafari hawako hivo
Hahahaa[emoji1] [emoji1] [emoji1]Hapa mmoja anamilik hotel ya kimataifa mwingine anamilik bwawa la kambare wa kimataifa..... Wivu ni kidonda
ExactlySele ni mpuuzi tu , mchafu kuoga huyo ni wa kumpuuza tu ...........mwenye akili hawezi jibizana na huyu kichwa maji ..........
Unaona sasa angesema tu sugu angemsaidia mbona alimsaidia kumtoa kwenye muziki
Hebu mwaga maana kwa akili za sele inawezekana
Siku hizi vichaa wanasema ukweli. Na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.lakini amesema ukweli au uongo? kipi cha uongo hapo?
Huyu siyo rasta! marasta hatupo hivyo! rastafarai tuna kanuni yetu ya I and I....!!Halafu anajiita rasta anaiaibisha imani ya marastafari