Tena anaweza andika zaidi ya hivyo sasa. Afande watu wamuone tu huku nje ila ana maneno mabaya kuliko kawaida..Mm siamini afande sale anaweza andika hivyo,na kama ni kweli,basi bangi ina madhara makubwa sana
Ana wivu wa kike ,sugu kuwa na hoteli kali basi anaumia kweliNi mfupi lakini mwenzake ana hela. Yeye mrefu lakini kazi kuvua chupi jukwaani mbele ya wanaume
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] kweli mkuuMtu kama huyu niwa kumhurumia View attachment 861245
Yaani hata mimi nimemdharau sana huyu anajiita afandeAna wivu wa kike ,sugu kuwa na hoteli kali basi anaumia kweli
hakika inashangaza sanaHahahaha.....ndio hivyo sasa, keshakuwa wa mrengo huo
Hatari sanaNdomana alichapiwaga mke wake yule (rip)na dj mmoja wa samaki moro....jamaa nlimkuta anatoka makamasi +kuliaa.....jing@ tu
Ova
Huyu si aliwahi kuvua nguo stejini akabaki na boksa??Sio utoto ni upumbavu,alafu ni jitu zima lina watoto kabisa
Duuuh kweli bro?Sele choko sana.Hali tete mpak alikuwa anavaa boxer za sugu,nw anamnyea mchizi.wahuni sio watu.
Hapo unaunga mkono mtu aliyebanguliwa na bangi. Uzuri na ubaya wa sura ya mtu uko mwenye macho ya mwonaji.lakini amesema ukweli au uongo? kipi cha uongo hapo?
Ndo huyo huyo hakuna mwingineHuyu si aliwahi kuvua nguo stejini akabaki na boksa??
me navuta kijiti cha matombo. Hicho ni hatari sana kuna jamaa alipata ajali ya bodaboda akalazwa muhimbili hana fahamu wiki basi masela wakaenda kumpulizia moshi wa kijiti cha matomba unaambiwa jamaa akapiga chafya madaktari wakaja mBio kusikia jamaa kazinduka. Toka hapo me napiga cha Matombo tu. Na pia kama mtu masikio yakiziba ukivuta cha Matombo halafu ukapiga miayo yanaachiaMkuu wewe unapiga ya wapi?
Napinga alichokiandika afande instagram kinafanana kabisa 100% na alichokisema kwa mdomo wake na video nnayoKama wiki hivi nyuma, sele aliwahi kulalamika kuna dogo huwa anachezea simu yake na anafanya mambo ya kipuuzi mpaka kwa watu anaowaheshimu, Alimtaja jina ila silikumbuki, na watu wengi huwa wanampigia kumuuliza mzee baba vipi tena? anasema pot nyingi huwa anapot huyo dogo na huvuka mipaka mpaka kuwatongoza mpaka mashabiki zake anaowaheshimu....kwa mamtiki hiyo inawezekana si afande aliyeandika