Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Huyo Baba Tunda mbona kisha pigwa chini na mkewe kwa sababu ya mibange yake?
Bange zimemkataa
Mwezi mtukufu jamani huu! Ggghhhrrr!
Hajielewi elewi. Muziki umemshinda sasa anataka magazeti yaendelee kumwandika, that's why anatumia ngumi na ugomvi ili aendelee kuandikwa
Kwa jinsi alivyo mchafu lazima mke akimbie