Kabisa asee au niyonzima kuwa mbunge asee huyu mtembea peku atakua na matatizo kidogoSawa na Mavugo kuchezea Taifa Stars
Mkuu, sio kidogo aisee, hii ndio shida ya kutafuta kiki kwa mkuluKabisa asee au niyonzima kuwa mbunge asee huyu mtembea peku atakua na matatizo kidogo
Wakitaka kuwa wazalendo waende JKT kwa miaka miwili ya kujitolea wafanye kazi haswa za maendeleo sio kukaa majukwaani na kukata viuno. Sisi tulikwenda JKT na tumelijenga taifa hili si kwa maneno haya ya kuganga njaa na kujipendekezaMpoto hana hoja, ujinga mtupu
Mkuu soma mada vizuri uielewe kwanza naona uko km 100 nje ya madaWakitaka kuwa wazalendo waende JKT kwa miaka miwili ya kujitolea wafanye kazi haswa za maendeleo sio kukaa majukwaani na kukata viuno. Sisi tulikwenda JKT na tumelijenga taifa hili si kwa maneno haya ya kuganga njaa na kujipendekeza