Afande Sele atoa kauli nzito kwa Mrisho Mpoto ‘Ulistahili kupigwa risasi tano kichwani’

GTA

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2013
Posts
878
Reaction score
651
Msanii wa muziki Bongo, Afande Sele (Mfalme wa Rhymes) amemvaa vikali msanii mwenzie, Mrisho Mpoto kufuatia madai kuwa alihusika kutoa baadhi ya wasanii katika wimbo maalum uliotungwa kwa ajili ya uzalendo na kumuweka Christian Bella wakati si raia wa Tanzania.

Afande Sele amedai kitendo hicho ni kuwakosea heshima wasanii wa Tanzania na Watanzania wenyewe. Msikilize hapo chini akifunguka zaidi pia Mrisho ajibu.
Credit: Bongo5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…