Afande Sele atoa wimbo: Mr President

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Upo poa sana ndio nasikiliza interview yake na Michael Baruti na Zembwela.

Nawasilisha.
 
sele namkubali ila sometimes anakosea sana, sasa anamponda J Makini anategemea nini???????
napata shaka kama ile darubini kali alitunga yeye, kwani kusema 'wachukua tuzo wanavuja kama fistula' ye katafsiri vipi???
kwa tafsiri yangu mi nadhani makini alimaanisha kuna watu wanapewa tuzo ila hawstahili ndo maana baada ya siku tatu, nne hawako tena kwenye vyombo vya habari na wameshapoteza mwelekeo, thats it, wacheki akina j4 iddi walopewa hadi gari,wako wapi sasa???????
kiupande flani mnyama leo dizain hivi kachemka ila namkubali sana
 
yupo chanal 5 ana mdiss chidi benz na tanesco wanachua umeme wao naomba update please
 
Yeye ambaye anajiona poa,nini kilimsababisha enzi hizo akavua suruali jukwaani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…