Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
mitaa inasema amepewa ahadi ya kuwepo kwenye PDF flani itakayotoka hivi punde.Zitto tokea atoke kwenye ile Ziara ya Somaliland yupo kimya sana sijui ni nini kilichomsibu.
Alikuwa anamsumbua Magufuli huyu....Zitto tokea atoke kwenye ile Ziara ya Somaliland yupo kimya sana sijui ni nini kilichomsibu.
Naona nae anajiandaa mkao wa kula zile pesa za Corona.😄mitaa inasema amepewa ahadi ya kuwepo kwenye PDF flani itakayotoka hivi punde.
Kwa nchi yetu anything is prone to happen.mitaa inasema amepewa ahadi ya kuwepo kwenye PDF flani itakayotoka hivi punde.
Inahusika na nini kwenye uzi wa Zitto na Afande Sele?
Siasa za matukio Zitto anapotea na CHADEMA vile vile mnapotea big time hamnaga ajenda nyie.....hasa za kiuchumi.Inahusika na nini kwenye uzi wa Zitto na Afande Sele?
Hivi huwa unalipwa shilingi ngapi kupost utopolo?na CHADEMA vile vile...mnapotea big time
Huwa hampendi kusikiliza hoja kinzani nyinyi CHADEMA nyie ni madikteta kweli jikite kwenye hoja tuonyeshe ajenda ya CHADEMAHivi huwa unalipwa shilingi ngapi kupost utopolo?
ANATAFUTA KUWA KIONGOZI WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI"Awamu ya tano Zito Kabwe alikuwa anapinga kila kitu hata yaliyokuwa ndani ya Ilani ya Chama chake,leo yupo kimya pamoja na maswahibu yote yanayowapata wananchi kwenye Kodi za umauti za Miamala ya simu pamoja na viongozi wenzake wa kisiasa kama Freeman Mbowe " Afande Sele
I am not an Afande Sele fan. Not one bit."Awamu ya tano Zito Kabwe alikuwa anapinga kila kitu hata yaliyokuwa ndani ya Ilani ya Chama chake,leo yupo kimya pamoja na maswahibu yote yanayowapata wananchi kwenye Kodi za umauti za Miamala ya simu pamoja na viongozi wenzake wa kisiasa kama Freeman Mbowe " Afande Sele
Nyepesi nyepesi anarudi mjengonimitaa inasema amepewa ahadi ya kuwepo kwenye PDF flani itakayotoka hivi punde.