Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 576
- 876
Mkuu una utalaamu wa kusoma sura?!Huyu mtu anayeitwa zitto amekaa kiusaliti saliti mno.
Hata sura yake inaonesha ni ndumilakuwili.
Ndio.Mkuu una utalaamu wa kusoma sura?!
Mmewaziba midomo, mmewafunga pingu mikono na miguu, na masikio yenu yaliyojaa nta mmeyaziba kwa pamba, je hizo agenda za uchumi za CHADEMA mtazisikiaje?Siasa za matukio Zitto anapotea na CHADEMA vile vile mnapotea big time hamnaga ajenda nyie.....hasa za kiuchumi.
Sasa hivi mpo kwenye katiba mara free Mbowe...
Usipoitaja CHADEMA huwa unawashwa.Siasa za matukio Zitto anapotea na CHADEMA vile vile mnapotea big time hamnaga ajenda nyie.....hasa za kiuchumi.
Sasa hivi mpo kwenye katiba mara free Mbowe...
Yaa njoo utulize muwasho bintiUsipoitaja CHADEMA huwa unawashwa.
Ni zaidi ya hilo. Zitto ni mdini, Rais akiwa 'Muislam' basi huwa hana 'shida' naye.Zitto ni mzee wa fursa, sasa hivi anaangalia upepo unakoelekea.
Huyu dogo ni mnafiki kwa kiwango cha kimataifa.Zitto tokea atoke kwenye ile Ziara ya Somaliland yupo kimya sana sijui ni nini kilichomsibu.
CDM inahusikaje apo sasa bila kuitaja hamsikii raha ehππππππAlikuwa anamsumbua Magufuli huyu....
Magu kaondoka hana hoja....
muflisi.....
siasa za matukio hudumu kwa muda mfupi
CDM mjipange
Bro lakini hii mada inamhusu ZittoSiasa za matukio Zitto anapotea na CHADEMA vile vile mnapotea big time hamnaga ajenda nyie.....hasa za kiuchumi.
Sasa hivi mpo kwenye katiba mara free Mbowe...
Nchi hii siku hizi wajanja wanatengeneza misukule kwaajili ya kuwatetea na kuyapiga pesa.Nilichokisoma hapa CHADEMA wanajiona sahihi kuliko Zito ila hii ni chuki mliyojazwa tu kiukweli hata Mimi siwezi kutetea watu waliotaka kunipa sumu
Jamaa mdini sana..sasahivi katulia tuli.Udini Mzee babaaaa
Huyu mvuta bangi si wapo pamoja na Zitto CCM?"Awamu ya tano Zito Kabwe alikuwa anapinga kila kitu hata yaliyokuwa ndani ya Ilani ya Chama chake,leo yupo kimya pamoja na maswahibu yote yanayowapata wananchi kwenye Kodi za umauti za Miamala ya simu pamoja na viongozi wenzake wa kisiasa kama Freeman Mbowe " Afande Sele
Nakubali kwa 100%
Ni ujinga tu mda mwingine inabidi tuwakubali wale tunaotifautiana nao mawazo na si kuwafanya maadaui zetuNchi hii siku hizi wajanja wanatengeneza misukule kwaajili ya kuwatetea na kuyapiga pesa.
Kosa la Zitto ni kukosana na mbowe na kubaki relevant kwenye siasa, ndio maana wakielewana hii misukule yote inakaa kimya. Wote waliokosana na Mbowe kina Kafulila, Said Arfi, Kitila Mkumbo, chacha Wangwe huwa wanapotea kwenye game, ukionekana unakaza unakaribisha vita isiyo na mwisho na misukule.
Zitto ana chama chake lakini misukule ya mbowe huwa inamshurutisha na kumtisha aunge mkono agenda na harakati za CDM.
In short misukule ya mbowe haina tofauti na ile ya Gwajima.