Afande sele haukomi tu !!!!

MATESLAA

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2011
Posts
1,246
Reaction score
75
miezi takribani 8 au 9 iliyopita nikiskiza kipindi katika moja ya radio radio maharufu sana hapa dar city,,ikimdhalilisha afade sasa kwamba anarasta chafu, haog,i anavuta bangi. kiukweli walimdhalilisha sana ,,ikafikia kipindi hawapigi nyimbo zake redioni sasa inakuaje afande sele umewapigia magoti kama mwanamke wa kikinga akimpa mumewe mji

afande sele aka simba jike haungati haaaaaaaaaaaaaaaa


na sabmit hoja
 
Juzi nimemkuta Temboni pale kilimani Bar yuko na ma- hard core anakula ugali kwa utumbo wametandaza machupa ya konyagi meza yote wachafu na mirasta yao
 
hii mada tumeidiscuss sana humu labda we mgeni
 
Adui muombee njaa atanyoosha mikono juu hata kama alikua shujaa-Mgambo sele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…