Acheni kuhukumu asee, Uchungu wa mwana aujuae ni mama tu Wengine mnaongea tu mihemko ivi unajua kuwa huyo mama kwamba kanumba alikuwa ndio mboni yake na kila kitu leo apoforewe mboni yake aendelee kufurahia? Tuheshimu hisia za mzazi huyu mama tangu ampoteze kijana wake amepitia mengi ya kuumiza mpaka bifu na huyo Lulu, Mimi nampa pole Lulu ila pia naheshimu sana hisia za mfikwa mama kanumba