Mmmmmh ya kweli hayo mkuu, mbona sugu na lema sio wahuni
Hapana mkuu...sizijui nyimbo za matusi za sugu labda kwa faida ya jukwaa unisaidie lau heading ya mmoja...ila ya lema nayajuaUlishazisikia nyimbo za Sugu za matusi ya nguoni?
Huyo Lema ndo anafanya hadi yale ambayo ni chukizo kabisa mbele za Mungu.
Hapana mkuu...sizijui nyimbo za matusi za sugu labda kwa faida ya jukwaa unisaidie lau heading ya mmoja...ila ya lema nayajua
BAVICHA wakisikiliza wimbo wa role model wao nyoyo zao zinasuuzika sana.
Mmmmmh ya kweli hayo mkuu, mbona sugu na lema sio wahuni
Anaziita Antivirus Mixtape. Zina matusi ambayo hayaandikiki hapa.
Matusi ya vijana wa BAVICHA hapa Jukwaani hayajaja from nowhere, yana historia ndefu.
Hawa nao na mambo yao ya siasa......
Kuna wimbo wake mpya katoa na msanii mwingine sijamfahamu vizuri ni mkali sana.
Aliyeshirikishwa anaimba kuwa anataka kumuoa Tunda mwanae Afande Sele. Afande Sele anakubali ila siyo kwasasa maana Tunda bado anasoma na hajatimiza bado ndoto zake kimasomo.
Bonge ya wimbo kuna vina hapo mpaka raha.
Mwenye nao auweke hapa wadau.
Afande lazima atazingua tu uko chadema, hajawai kuishi vizuri na mtu.
Kwakweli huyu Afande Sele hafai kabisa kuwa mbunge